Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Monster vipi???
Na My name Is....!
Hiyo alikusudia bibie si Alipitia Child abuse mama ake pia alikua ni mtu wa madawa ndio maana kajiita hvo. Wewe ukimuona yule jamaa psychologically unaona yupo normal??
Eminem imetoka kwenye M&M, kifupi cha Marshall Mathers ambalo ndiyo jina la kiserikali la Eminem.
Kuhusu kutokuwa normal, aliwahi kujibu mwenyewe...
"It's all political /
If my music is literal, and I'm a criminal / how the phuck can I raise a little girl? /".
He raised many kids btw, including his little bro.



we jamaa




