Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486



ohoo
Jana tumelewa sana pombe tukachoma na mbuzi kula sana nyama. Cha ajabu tumeamka Leo asubuhi tumekuta yule mbuzi yupo hai ila mbwa Hamna, sijui kapotelea wapi View attachment 1280922



ohoo
Jana tumelewa sana pombe tukachoma na mbuzi kula sana nyama. Cha ajabu tumeamka Leo asubuhi tumekuta yule mbuzi yupo hai ila mbwa Hamna, sijui kapotelea wapi View attachment 1280922
Huo wimbo.. nilishashindwa ukariri ajili ya uharaka wa matamshi. Yule jamaa ni ghost asee kwenye kurap fastAisee nimeipenda hii,, namkubali mno Eminem.. hasa huo wimbo wake wa rap god
Wakevi mna mbwembwe 😂😂😂
Sure...nimemkwuotiMmhh,, Sure??
Niache bwana natumis Qwerty keyboardWakevi?![]()
Hafu hamkosi cha kujitetea..Hapana ni wanywaji
Kama Gonja vile.

Jana tumelewa sana pombe tukachoma na mbuzi kula sana nyama. Cha ajabu tumeamka Leo asubuhi tumekuta yule mbuzi yupo hai ila mbwa Hamna, sijui kapotelea wapi View attachment 1280922
Dah mimi mmasai wa daslam bwana....! HujamboWe mmaasai wa dumila upo??![]()
Unanitesa jamani wewe mwanmke
Pole mwaya