Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,094
Majibu yako tu 😂😂😂😂sio tajiri, ila nimetoka kwenye familia inayoweza kumudu milo 3 kwa siku, na yenye kuakisi maisha bora.
Kuhusu mahitaji na huduma, nashukuru wazazi wangu wananipatia kila napohitaji.
Kwa Ba tamu nimefataa Uboo, ambapo siwezi kupata kwa mwingine.
Sio shida zako uduguu
