Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

sio tajiri, ila nimetoka kwenye familia inayoweza kumudu milo 3 kwa siku, na yenye kuakisi maisha bora.

Kuhusu mahitaji na huduma, nashukuru wazazi wangu wananipatia kila napohitaji.

Kwa Ba tamu nimefataa Uboo, ambapo siwezi kupata kwa mwingine.
Majibu yako tu 😂😂😂😂
Sio shida zako uduguu
 
Nipo dear ex wifi najiweka tayari ni mda wa mguu kitandani mguu dilishani 🤸🏿‍♀️
😂😂😂 halafu nilisahau kukuita jina sijui waliniwangia likanitoka.!! Tumeachiwa tena kwa mara nyingine wachachuaji wa uzi pendwa.!!

Wenye ndoa mnatunyanyasa sana tulio single 😂
 
kwan ni nani? Mbona amekuganda toka kitambo
huyu bhana wakati naingiaa humu, si akawa ananikubali ila kunianza akashindwaa, sasa siku kapewa ubuyu huko kuwa mie ni kidampaaa,

Kaanza kuweka chuki na hasiraaa kwangu, kapiga kimyaa alishindwa, mwsho wa siku akanivaa humu humu selfika.

Aseeeh kiliwaka hiyo siku, magazeti yalishushwa humu, wakaja na wenzie kumsaidiaa niliwafurushaa wotee.

Yeye huyoo hadi alikimbia kwa muda hiyo I'D yake, hawezi nisahauu kamweeee.

Kwa kifupi ni ananikubaliii haswaa, ila anavungaaa.

Ndo maana nimemchana aache mazoea, mie mke wa mtu sahivi.
Woiiiiiih
 
😂😂😂 halafu nilisahau kukuita jina sijui waliniwangia likanitoka.!! Tumeachiwa tena kwa mara nyingine wachachuaji wa uzi pendwa.!!

Wenye ndoa mnatunyanyasa sana tulio single 😂
Huu uzi bila amsha amsha una poa sana 😁😁😁
We si umemkataa kaka yangu sasa hivi ungekuwa una uchezea mhogo 🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️
 
huyu bhana wakati naingiaa humu, si akawa ananikubali ila kunianza akashindwaa, sasa siku kapewa ubuyu huko kuwa mie ni kidampaaa,

Kaanza kuweka chuki na hasiraaa kwangu, kapiga kimyaa alishindwa, mwsho wa siku akanivaa humu humu selfika.

Aseeeh kiliwaka hiyo siku, magazeti yalishushwa humu, wakaja na wenzie kumsaidiaa niliwafurushaa wotee.

Yeye huyoo hadi alikimbia kwa muda hiyo I'D yake, hawezi nisahauu kamweeee.

Kwa kifupi ni ananikubaliii haswaa, ila anavungaaa.

Ndo maana nimemchana aache mazoea, mie mke wa mtu sahivi.
Woiiiiiih
Kumbe anakupenda 😂😂😂
Sasa si akusemeshe kwa sauti ya mamlaka ya pesa km ana jeuri.!!
Ila jf ukimkataa mtu anaanza kukuponda!! Umenikumbusha babu miga alivyoanzaga kuniponda bibi 🤣🤣🤣
 
Huu uzi bila amsha amsha una poa sana 😁😁😁
We si umemkataa kaka yangu sasa hivi ungekuwa una uchezea mhogo 🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️
Kaka yako yupi?? Em nikumbushe ujue humu nimetakwa na wengi 😂😂😂😂
 
Kumbe anakupenda 😂😂😂
Sasa si akusemeshe kwa sauti ya mamlaka ya pesa km ana jeuri.!!
Ila jf ukimkataa mtu anaanza kukuponda!! Umenikumbusha babu miga alivyoanzaga kuniponda bibi 🤣🤣🤣
Mmeanza tena kwa kweli mmeshindikana 😁😁😁
 
🤣🤣🤣🤣 Halafu inaanzaga km utani mara pap ban zinaanza.!! Na sijawahi kukosekana sijui kwanini??
Ss hivi nimesema sitaki bifu wala ugomvi na mtu.
Shida ya humu hata Kama hutaki ugomvi unakuta mtu anakuchokoza mpaka nawe unapaniki.
 
Shida ya humu hata Kama hutaki ugomvi unakuta mtu anakuchokoza mpaka nawe unapaniki.
Na ndio hicho ninachowaambiaga mods, yani wanakulazimisha uwachachue😂😂😂
Leo bado kidogo hekaheka zianze hapa nikajikaza
 
Back
Top Bottom