Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shida ya humu hata Kama hutaki ugomvi unakuta mtu anakuchokoza mpaka nawe unapaniki.
Na ndio hicho ninachowaambiaga mods, yani wanakulazimisha uwachachue😂😂😂
Leo bado kidogo hekaheka zianze hapa nikajikaza
 
Kumbe anakupenda [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa si akusemeshe kwa sauti ya mamlaka ya pesa km ana jeuri.!!
Ila jf ukimkataa mtu anaanza kukuponda!! Umenikumbusha babu miga alivyoanzaga kuniponda bibi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.

Sasa baada ya kuambiwa mie ni kidampa, kaanza chuki na hasira, sasa km hana interest na vidampa si awe buzzy na galz, uzuri mie sina hata tyme nae, niko buzzy na yangu.

Ila yeye hawezi kaa bilaa kunifata fata, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ina heka heka hatariiii.
 
Na ndio hicho ninachowaambiaga mods, yani wanakulazimisha uwachachue[emoji23][emoji23][emoji23]
Leo bado kidogo hekaheka zianze hapa nikajikaza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona zinakujaa, wee subiriiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu alikuwa na hekaheka sio ndogo.!! Em arudi atuchekeshe nimemiss mashauzi ya kihaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zanguu, uduguu una nn wee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.

Sasa baada ya kuambiwa mie ni kidampa, kaanza chuki na hasira, sasa km hana interest na vidampa si awe buzzy na galz, uzuri mie sina hata tyme nae, niko buzzy na yangu.

Ila yeye hawezi kaa bilaa kunifata fata, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ina heka heka hatariiii.
😂😂😂😂😂 Ko yy alijua ww gal
Sasa si akupende hivo hivo na ukidampa wako!! Au anaogopa??
 
Back
Top Bottom