Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,099
Ww yako iko wapi? ππTumeni picha sasa tuwaone πππ
Ww yako iko wapi? ππTumeni picha sasa tuwaone πππ
Mimi natuma baada ya kuona ma sis mkituma hapa mana nilivokua na hamu ya kuwajua..Ww yako iko wapi? ππ
Kumbe anakupenda
Sasa si akusemeshe kwa sauti ya mamlaka ya pesa km ana jeuri.!!
Ila jf ukimkataa mtu anaanza kukuponda!! Umenikumbusha babu miga alivyoanzaga kuniponda bibi![]()



huyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.



babu alikuwa na hekaheka sio ndogo.!! Em arudi atuchekeshe nimemiss mashauzi ya kihaya




Na ndio hicho ninachowaambiaga mods, yani wanakulazimisha uwachachue
Leo bado kidogo hekaheka zianze hapa nikajikaza



mbona zinakujaa, wee subiriiii.babu alikuwa na hekaheka sio ndogo.!! Em arudi atuchekeshe nimemiss mashauzi ya kihaya



mbavu zanguu, uduguu una nn wee.Huyo hapoMimi natuma baada ya kuona ma sis mkituma hapa mana nilivokua na hamu ya kuwajua..
Sitaki nishindwe kuwasalimia dasalam hapa nikiwaona
Wazazi nao walifika kwenye sherehe?Niolewe mara ngapi sasa?![]()
Wote wanao olewa wanafunga ndoa na kufanya sherehee?Wazazi nao walifika kwenye sherehe?
πππππ Ko yy alijua ww galhuyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.
Sasa baada ya kuambiwa mie ni kidampa, kaanza chuki na hasira, sasa km hana interest na vidampa si awe buzzy na galz, uzuri mie sina hata tyme nae, niko buzzy na yangu.
Ila yeye hawezi kaa bilaa kunifata fata,
JF ina heka heka hatariiii.
Rudia sijaona wiiKwazi kwenu muizingushe huko pmππ
Weeeeh najikuta nainjoi tuuu.....Huyo hapo
Unapendwa uduguu ππππhatariiii tupuuu.
ππππ babu arudi
πππππmbona zinakujaa, wee subiriiii.
Babu ana mindinga yake ya kudownload basi tunaenjoy ππππmbavu zanguu, uduguu una nn wee.