cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,308
Wapo lakini hawatembei na mashoga..



umenifataaaa!!! Umejizuiaaa umeshindwaaa.Wee mie mke wa mtu sahivi, punguzaa mazoea, utaniharibia ndoa yangu.
Poleeeeeeeh.
Wapo lakini hawatembei na mashoga..



umenifataaaa!!! Umejizuiaaa umeshindwaaa.😂😂😂😂 Uduguuu bana siohizo principles zako zinataka wazungu. Kuwa mkweliii.
Mie principles zangu zimeangukia kwa mpare na anazimudu.
😂😂😂😂 ntakuletea pipi usithemeeeNasemeleaaa!!!![]()
Umeanza ukorofi wako 😂😂😂Wapo lakini hawatembei na mashoga..
Mimi nna nywele nyingi na kufinywa sipendi kabisaaa 😂Mim pia nilishindwa hicho, kukaa tu nilishindwa pia na hivi na kichwa kikubwa.
Uduguuu bana sio
Ila wamatumbi wana nongwa wote wanafanana tabia yani



wangu yuko tofauti sana, hadi najisemeaa ukipewa kilema, unapewa na mwendoo.Nna kipensi km komandoo 😂😂😂Utaweza kuruka na kanga moja?
Kwa uzuri ulionao tafuta kijana moja kitu moyo unapenda mtulizane😂😂😂😂 Uduguuu bana sio
Ila wamatumbi wana nongwa wote wanafanana tabia yani
😂😂😂😂 Uduguuu bana sio
Ila wamatumbi wana nongwa wote wanafanana tabia
Hongera zako uduguu, mi naona hekaheka na vituko tupu. 🤣🤣🤣wangu yuko tofauti sana, hadi najisemeaa ukipewa kilema, unapewa na mwendoo.
Kila ntu na ntuwe.
Me nishawai kufinywa mkichwa nikaanza kuliaMimi nna nywele nyingi na kufinywa sipendi kabisaaa 😂
Nishampaa kavu lake, huyu atakaa asahau nilimsambaratisha.Umeanza ukorofi wako
Uduguu 100 anakutafuta huku





Mi nilimwambia niache 😂😂😂Me nishawai kufinywa mkichwa nikaanza kulia
Nilifumua kwa kweli
😂😂😂Vichwa vya uchunguMi nilimwambia niache 😂😂😂
Pesa yangu initese weeeh
Hivi we ugumu wa maisha ndio ulipelekea uka left group?umenifataaaa!!! Umejizuiaaa umeshindwaaa.
Wee mie mke wa mtu sahivi, punguzaa mazoea, utaniharibia ndoa yangu.
Poleeeeeeeh.
Hivi we ugumu wa maisha ndio ulipelekea uka left group?



sio tajiri, ila nimetoka kwenye familia inayoweza kumudu milo 3 kwa siku, na yenye kuakisi maisha bora.😂😂😂 kwan ni nani? Mbona amekuganda toka kitamboNishampaa kavu lake, huyu atakaa asahau nilimsambaratisha.
Alikimbia had I'd yake, sahivii ba tamu kanitulizaa, sihushuliki na wenye stress.
![]()
Unasukwa km mna ugomvi 😂😂😂poleeee.
Ngozi inauma wee usipokuwa na subira unaweza kumkata Kofi 😂😂😂😂😂😂Vichwa vya uchungu