Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Utaweza kuruka na kanga moja?😂😂😂 haya nakuja ngoja kwanza niruke fence
Utaweza kuruka na kanga moja?😂😂😂 haya nakuja ngoja kwanza niruke fence
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifataaaa!!! Umejizuiaaa umeshindwaaa.Wapo lakini hawatembei na mashoga..
😂😂😂😂 Uduguuu bana sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo principles zako zinataka wazungu. Kuwa mkweliii.
Mie principles zangu zimeangukia kwa mpare na anazimudu.
😂😂😂😂 ntakuletea pipi usithemeeeNasemeleaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza ukorofi wako 😂😂😂Wapo lakini hawatembei na mashoga..
Mimi nna nywele nyingi na kufinywa sipendi kabisaaa 😂Mim pia nilishindwa hicho, kukaa tu nilishindwa pia na hivi na kichwa kikubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangu yuko tofauti sana, hadi najisemeaa ukipewa kilema, unapewa na mwendoo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uduguuu bana sio
Ila wamatumbi wana nongwa wote wanafanana tabia yani
Nna kipensi km komandoo 😂😂😂Utaweza kuruka na kanga moja?
Kwa uzuri ulionao tafuta kijana moja kitu moyo unapenda mtulizane😂😂😂😂 Uduguuu bana sio
Ila wamatumbi wana nongwa wote wanafanana tabia yani
😂😂😂😂 Uduguuu bana sio
Ila wamatumbi wana nongwa wote wanafanana tabia
Hongera zako uduguu, mi naona hekaheka na vituko tupu. 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangu yuko tofauti sana, hadi najisemeaa ukipewa kilema, unapewa na mwendoo.
Kila ntu na ntuwe.
Me nishawai kufinywa mkichwa nikaanza kuliaMimi nna nywele nyingi na kufinywa sipendi kabisaaa 😂
Nishampaa kavu lake, huyu atakaa asahau nilimsambaratisha.Umeanza ukorofi wako [emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu 100 anakutafuta huku
Mi nilimwambia niache 😂😂😂Me nishawai kufinywa mkichwa nikaanza kulia
Nilifumua kwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee.Hongera zako uduguu, mi naona hekaheka na vituko tupu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂Vichwa vya uchunguMi nilimwambia niache 😂😂😂
Pesa yangu initese weeeh
Hivi we ugumu wa maisha ndio ulipelekea uka left group?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifataaaa!!! Umejizuiaaa umeshindwaaa.
Wee mie mke wa mtu sahivi, punguzaa mazoea, utaniharibia ndoa yangu.
Poleeeeeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio tajiri, ila nimetoka kwenye familia inayoweza kumudu milo 3 kwa siku, na yenye kuakisi maisha bora.Hivi we ugumu wa maisha ndio ulipelekea uka left group?
😂😂😂 kwan ni nani? Mbona amekuganda toka kitamboNishampaa kavu lake, huyu atakaa asahau nilimsambaratisha.
Alikimbia had I'd yake, sahivii ba tamu kanitulizaa, sihushuliki na wenye stress.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unasukwa km mna ugomvi 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee.