Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Nimejitahid kushawish eeh njoo basi😊Rangi iheshimiwe 😂😂😂
Nimejitahid kushawish eeh njoo basi😊Rangi iheshimiwe 😂😂😂
Ila uduguu umenichoka khaaaa!! 😂😂😂eeeh wee jizolee kibabu wako wa Las Vegas ukale maishaa kwa Biden.
Kwa hizo sifa labda alikuwa kitukuu wa mfuasi wa yesu
😂😂😂😂 nimecheka uduguuu lol!!Si umeona misuli ile? Atakuharibu ujue.
, na hiyo rangi alama zinabaki kuonekana, utasema ubende umegandaa.
Woiiiiih
Nimelia sana
Sasa mimi ninaye na anavyo hivyo vyote ila simpendi
Em nipe dawa ya kumpenda kilazima



uduguu sema kweli, hana hivyoo vyote bhana.😂😂😂 haya nakuja ngoja kwanza niruke fenceNimejitahid kushawish eeh njoo basi😊
Niamini, alichokosa ni ndingaaa tyuuuh.Kwa hizo sifa labda alikuwa kitukuu wa mfuasi wa yesu
Kweli anavyo ni mwanaume na nusu uduguu ila nna principle zangu nimejiwekea zinagoma kumuelewa 😂😂😂uduguu sema kweli, hana hivyoo vyote bhana.
Mbna ungempendaa tyuu.
😂😂😂😂 Na kuna watu wana sifa mpk akuweke alama watu wajue km ulifanya mchezo mbayahatareeeeh.
Mim nikisuka bina nawashwa kichwa siwez tena.Mbona nzuri, hapa nimepanga nikifumua haya manywele nikanyoe nirudi tena kwenye low cutting
Haunisemelei km natoroka uduguu 😂😂😂
Wewe km mimi, nilisuka week moja nimefumua. Hapa nimesuka tena nna siku 3 natamani kufumuaMim nikisuka bina nawashwa kichwa siwez tena.
Kweli anavyo ni mwanaume na nusu uduguu ila nna principle zangu nimejiwekea zinagoma kumuelewa
Au nimerogwa sijui



hizo principles zako zinataka wazungu. Kuwa mkweliii.Wapo lakini hawatembei na mashoga..
Mim pia nilishindwa hicho, kukaa tu nilishindwa pia na hivi na kichwa kikubwa.Wewe km mimi, nilisuka week moja nimefumua. Hapa nimesuka tena nna siku 3 natamani kufumua
Utaweza kuruka na kanga moja?😂😂😂 haya nakuja ngoja kwanza niruke fence