Yaani angekuwepo kungenoga SanaNazikosaje kwa mfano👌🔥
Sema leo sijafurahi ,yule Maza mzuri sabaha hayupo
Na wigi lake kama Asha ngedere😂😂😂👌Nami namsubir yeye
Umemuona mtu mfupi alivocha huka
Talaka nginja nginja 😂😂😂
😂😂😂Kasema pale mwisho msiingilie maamuz ya Mungu 😂😂😂Na wigi lake kama Asha ngedere😂😂😂👌
Mishangazi imeogelea toka kinyerezi hadi upanga kupata Raha za pwani😂😂😂😂Yaani angekuwepo kungenoga Sana
Mm nilijua Kutakuwa hamna sabbu ya mvua ila watu wa dar😂😂😂
Ndio avae lile wigi lol 😂💔😂😂😂Kasema pale mwisho msiingilie maamuz ya Mungu 😂😂😂
Na makeup zimetulia au walibeba wamepak huko huko sema hii watu wamependeza sanaMishangazi imeogelea toka kinyerezi hadi upanga kupata Raha za pwani😂😂😂😂
Yule mama Sabaha Mimi huwa namkubali kuliko hawa wote,akifuatia na Mke wa Mzee Yusuf.
Kopa mbwembwe nyingi ila pumzi hana.
Na ule ufupi 😂😂😂😂Ndio avae lile wigi lol 😂💔
Angejitanda kama huyu mwenzie anayeimba sasahivi
Kapendeza sana.
Wa kishua sana huyu dada aiseeMzungu mweusi👍
SanaNa makeup zimetulia au walibeba wamepak huko huko sema hii watu wamependeza sana
Sababa Yuko vizuri live ni noma
Gauni hilooNa ule ufupi 😂😂😂😂
Uwanja mzima wake 😂😂😂Gauni hiloo
Kwa kweli na mbwembwe zake sasa
Yaani nimecheka 😂
Yaani😂😂😂😂Uwanja mzima wake 😂😂😂
Kashaingia😂😂Yaani😂😂😂😂
Ngoja tumuone naye mama zuchu anavyotamba
Anatembeaga anaanza kuzunguka ukumbini kukusanya hela😂
Kajua kuwapatia 😂😂Ana mbwembwe
Kaja na wimbo uliochanganya
Pumzi hana sana kwenye sauti yakeKajua kuwapatia 😂😂