Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,516
- 235,229
Arusha penyewe pamepangiliwa kitu gani Mkuu?Arusha ni nzuri zaidi ya Mbeya, sioni eneo lolote pale Mbeya ninaloweza linganisha na eneo lolote Arusha...
Mbeya imejengwa hovyo hovyo sana...
Mji uliopangiliwa mwanzo mwisho ni Dodoma tu.
Kwingine kote Kuna baadhi ya maeneo yamepangiliw, baadhi yalijengwa hovyo tu.