Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Fresh from shamba!

IMG_20240426_125701_029~2.jpg

Muwe na mchana mwema wapendwa!
 
Lina laana hili jiji
Mimi kuna mzigo wangu nafuata mjini niondoke zangu
Kasheshe kufika huko posta..
Sijui nizungukie Toangoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sitaki njia yenye maji kabisa
Uwezo wa kuvuka maji nimejitwika mizigo siwezi.
Dar hamna laana,Laana Iko Dodoma,..Isanga gereza la kunyonga watu,Milembe hospital ya vichaa,Ukame....Dar changamoto ndogondogo tu wajameni😁
 
Back
Top Bottom