Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sio muda namuita Meja jenero wangu coca aje atoe salamu za vita mpya na kikosi kipi kitaanza kushambulia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃMimi ni UN. .. Upande utaoelemewa nitapeleka misaada ya kibinadamu...
 
anadhani kila mtu, yuko kufatilia ya watu yeyee? Atuliee na seleee wakeee.
Na sisi tuko na kina Albert tomba wetu, sasa yeye mahangaiko ya nn?
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ tumeambiwa tumeachika hatutaki kukubali?? Hivi tuliolewa nini udugu?? Mi nimesahau ujue?? Mahari alichukua nani kwanza nikamdai!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃMimi ni UN. .. Upande utaoelemewa nitapeleka misaada ya kibinadamu...
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Usisahau kuwashtua na WHO watuletee chakula cha kutosha
 
kunijia PM na I'ds mpyaa, ili mnichokonoee sitakiiii!!

Unafikii sio shida zanguu, mie huwaga namalizaa hapa hapa wazi na umma unaonaa!! Cna mudaa wa kumzungumzia mtu mafichonii.
Sina hulka hiyo kwanzaa!!!
 
tumeambiwa tumeachika hatutaki kukubali?? Hivi tuliolewa nini udugu?? Mi nimesahau ujue?? Mahari alichukua nani kwanza nikamdai!!
asiyekubali kuachika ni yeyee, aliyekua ana haha JF nzimaa, em atuachee bhana, afu mbona anatafutaa vita kwa nguvu mnoo?

Hasira za kutopewa I4n akamalizie huko, mie sitakiii bhana.
 
Back
Top Bottom