Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lovelovie sis fundi achonishonea anajua mwenyewe😊 kale ka swagger kamemshinda nguo ameivuruga hatariiii!

Kichwani umeme sasa yelewiiiii🙌🙌🙌! Hapa sina poziiiiiii!
Wacha nirare kwanza kesho ntajua.
Msisahau kuchati na picha wapendwa.🤳

Mrare unonoooo😴😴😴😴😴😴!
 
Kumbe Govinda?? Sasa hilo li mzura lina raha gani? Akilipinyuaa linatoa pumba na unga unga, wee hapo Fangasi na UTI nje nje.

🤣🤣🤣🤣 udugu si ndiomana shangazi yutiai inamsumbua kila mara, imekuwa sugu
 
ngojaa siku nikiwa na mood!! Mbona hata modes nishawapa taarifaa, kaa kwa kusubiriii.
Acha mikwara mbuzi umeambiwa hata mje kundi zima hamuwezi kuharibu furaha ya shangazi..! We huogopi? 🤣🤣🤣🤣
 
Kweli mnamwita Mwamedi mbabaishaji?🤣😂💔
We unawajua wahindi wewe waulize watu waliofanya kazi na wahindi watakuambia vizuri, kwanza we duniani ulisikia wapi timu yoyote ya mpira ya maana inayodhaminiwa au inayomilikiwa na muhindi, mambo ya udhamini na umiliki wa timu za mipira waachiwe wazungu na waarabu muhindi mbahili ana uchungu mno na pesa yake
 
Back
Top Bottom