Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kunijia PM na I'ds mpyaa, ili mnichokonoee sitakiiii!!

Unafikii sio shida zanguu, mie huwaga namalizaa hapa hapa wazi na umma unaonaa!! Cna mudaa wa kumzungumzia mtu mafichonii.
Sina hulka hiyo kwanzaa!!!
Oyooooo!! Waambie waje waselfike waache majungu.!! Mbona issue km hizi tunafunguka hapa hapa jomoooniii 😂😂😂😂
 
asiyekubali kuachika ni yeyee, aliyekua ana haha JF nzimaa, em atuachee bhana, afu mbona anatafutaa vita kwa nguvu mnoo?

Hasira za kutopewa I4n akamalizie huko, mie sitakiii bhana.
😂😂😂😂😂 etiiii 14 nini??
 
We unawajua wahindi wewe waulize watu waliofanya kazi na wahindi watakuambia vizuri, kwanza we duniani ulisikia wapi timu yoyote ya mpira ya maana inayodhaminiwa au inayomilikiwa na muhindi, mambo ya udhamini na umiliki wa timu za mipira waachiwe wazungu na waarabu muhindi mbahili ana uchungu mno na pesa yake
Kwahiyo pamoja na kutoa bil 20 bado mnamlaumu😂😂😂😂😂
 
etiiii 14 nini??
I4n ipi nzurii,? nzuri ni latest version, chukua 14pro.
Kheeeh muda unapita hollah, kuuliza unachojibiwaa unabakii kusema "bhaghoshaaaaa"

I4n sio makalio kwamba kila anayetembea kwa miguu miwili anayo, woiiiiih
 
Oyooooo!! Waambie waje waselfike waache majungu.!! Mbona issue km hizi tunafunguka hapa hapa jomoooniii
Shangaa wee uduguu,
Yaani nina kumuhe muhe na mja, niache kumvagaa hapa, niende mafichoni?
Mbona sijafikia hatua hiyo kabisaaa!!!
 
I4n ipi nzurii,? nzuri ni latest version, chukua 14pro.
Kheeeh muda unapita hollah, kuuliza unachojibiwaa unabakii kusema "bhaghoshaaaaa"

I4n sio makalio kwamba kila anayetembea kwa miguu miwili anayo, woiiiiih
🤣🤣🤣🤣 kwahiyo waja wanaziba kitobo bure!! Sijapentraaaaaa
 
Back
Top Bottom