Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si ndiooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Udugu wewe andaa siku ukila kijiti cha Arusha buuufff chachuka uwanja wako.!! Ila chonde chonde naomba niwepo ndio usasambue kapu la mama 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Marangu kwa kijani hivyoo? Km kanda ya juu kusini vile.
Hee unauliza nzi chooni...huko ni ever green mwana Lunyasi...
Nenda siku moja moja ukashangae shangae water falls hapo kinuka mori...
Ila hyo ni water falls moja inaitwaje nimesahau jina jamani..pazuri kweli...
 
Udugu wewe andaa siku ukila kijiti cha Arusha buuufff chachuka uwanja wako.!! Ila chonde chonde naomba niwepo ndio usasambue kapu la mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hiyo siku naita kila mtu ambaye angle yake itamgusaa, ili wajioneee wenyeweeee!!!!
Sitakii unafikii mie.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie mnaibiana mabwana wenye mipesa!! Mbona hamtaki kumuiba Analyse au mnajua atawakopa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi nilitee huyo baba wa story niishi nae, mie muhimu awe na jihogo anifikishee mawenziiiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hiyo siku naita kila mtu ambaye angle yake itamgusaa, ili wajioneee wenyeweeee!!!!
Sitakii unafikii mie.
Mimi nipo udugu 😜
Au mimi sijatajwa?? 😂😂😂😂
 
Mimi nipo udugu [emoji12]
Au mimi sijatajwa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu wee kubwa la maadui, uwe wapiii?
Sema nn uliwahi kuyabanangaa, vinginevyoo angetoaa mlokua mnajadili angeniletea mie.

Yaan hawezagii kutuliaa kabisaaa.
 
Back
Top Bottom