Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha mikwara mbuzi umeambiwa hata mje kundi zima hamuwezi kuharibu furaha ya shangazi..! We huogopi?
sasa nani anataka kuharibu furaha yakee?
Mbona anajistukia huyo shangazii akoo? Em atulizanee bhanaa
 
Lovelovie sis fundi achonishonea anajua mwenyewe😊 kale ka swagger kamemshinda nguo ameivuruga hatariiii!

Kichwani umeme sasa yelewiiiii🙌🙌🙌! Hapa sina poziiiiiii!
Wacha nirare kwanza kesho ntajua.
Msisahau kuchati na picha wapendwa.🤳

Mrare unonoooo😴😴😴😴😴😴!
🥲🥲🥲🥲Eeeh tena.
Pole ccy nitumie kule nione.
 
na mie naenda kumpeti petii Mr Albert tomba wangu.
Weuweeeeeeh
🤣🤣🤣🤣 Ila bibi jau sana!! Mr Albert tomba wangu kasafiri mwenzio, nimemmiss kweli😌😌
 
sasa nani anataka kuharibu furaha yakee?
Mbona anajistukia huyo shangazii akoo? Em atulizanee bhanaa
😂😂😂😂 furaha ya kufake mbaya sana!!
Shangazi sie hatuna time naye yy ale rungu la kipepe mpk achoke na ras zake km bob
 
furaha ya kufake mbaya sana!!
Shangazi sie hatuna time naye yy ale rungu la kipepe mpk achoke na ras zake km bob
anadhani kila mtu, yuko kufatilia ya watu yeyee? Atuliee na seleee wakeee.
Na sisi tuko na kina Albert tomba wetu, sasa yeye mahangaiko ya nn?
 
Back
Top Bottom