Selfika na JF: Snap it. Show it

ila uduguu, unajua kuna vidampaa wamepindaa??
Kuna siku nilikua ubungo plaza kule ndani floor ya 2, sasa kuna kidampa cjui alikua ana msubiri jamaa ake, sasa hakutokea.

Asianzee kuropokwaaaa?? Alitoa mineno mizito mizito, huku anatokaa, baadae watu wakaanza kusema "kaletwa kuchoreshwaa tyuu"

Kuna mdada alidakia " ila sio vzuri km mtu umuhitaji wann umsumbue na kumdhalilisha hivi si umuache"
Nilimpenda yule dada,


Ila kidampa alijua kubwataaaa, khaaaaah afu hata haogopiii. Lol
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ dah! Sasa yote hayo ya nini?? Kuna watu wana mambo ya hovyo.! Kidampa wa watu alitia huruma maskini 🀣🀣🀣

Sema vidampa hawana nouma na watu labda umuanze wewe kumletea kwere, kuna mmoja alikuwa ananipenda ananiita dada basi akienda kwao akirudi ananiletea zawadi mwenyewe. Mpole na mtaratibu hafu lizuri likiongea km halitaki lina kithethe.!!

Siku nilijua km kidampa machozi yalinitoka ila wala sikumuonyesha tofauti, alinisimulia story yake iliniumiza..!! 😭
 
vidampa wanakua na royal sana, c unajua wanaogopa kutengwa na kunyanyaswaaa!!! Wanakua na fadhira mnoo.

Sema miwanaume ya Bongo mikorofiii ikiona ina ugumu wa maisha, pesa haina bas inatafuta mtu wa kumtulia shida zake ili awe ahueni ndo anachokoza vidampaa, roho yake inatuliaaaa.

vidampa wengi wana sad story huko nyuma. Ni wa kusamehewa tyuuu.
 
Halafu cha kushangaza ukiwachunguza ndio wateja wao wakubwa hao vidampa 🀣🀣🀣🀣
Na wengine wanawaforce KE wawafanye vidampa!! Yani men wanafki sana sijui kwann?? Kuna mwanaume mmoja anakwambia sitembei na vidampa ila mwanamke ni sawa kumfanyia hivo!! Sasa unajiuliza huyu mzima kweli?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mna mambo nyie,eti VIDAMPAπŸ˜‚
 
wewe lamomy naomba picha yako nimetokea kukufananisha muandiko na id fulani! usiponitumia namwaga manyanga hapahapa sina jambo lakupoteza!..πŸ˜…
 
Hahaha watu wanadai eti mapenzi yanauma, hivi wanajua maumivu ya kufungwa na mtani home and away, na kukosa ubingwa au kombe lolote kwa Misimu mitatu mfululu
Kuna wamathimba wanajiona don't care
Eti hawajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…