Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mwenyewe naenda chimbo, kuna kidampa anafundwaa leo, bas full tafraniii.
Niko huku na kulee situlizaniiii kabisaa.
Nipe location nije na mie nimfunde ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mi nakuwekea picha original Dogo,ngozi inafanyiwa skin care routine na product za kikorea filter for what?kama unatumia kojie ya mama bonge Kko ndio utaweka ukungu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ awwww mbavu zinauma, nifanyie mpango na mi sis niwake basi mana camera inanigomea hata nikijitahidi vipi!!
 
Poleni watani. Kombe jipya la Muungano ni lenu. Na mmeanzia nusu fainali. Msiwaruhusu Azam wawanyang'anye ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 2972654
Hata hilo nalo usishangae tukalikosa mtani, kama Kombe la Mapinduzi tuliwaachia Mlandege hata hilo tutawaachia tu Azam, na si ajabu hata nafasi ya Pili nayo tukawaachia tu tushajikatia tamaa sisi ๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’
 
Back
Top Bottom