Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,484
Kumbe kuna Pombe wanatumia ndizi kutengeneza, me niliwahi kunywa Mbege ambayo inatengezwa na NdiziBalimi nadhani ni kanda ya ziwa yote. hio Rubisi/ kalinya ni zile pombe za asili mfano wa gongo huku wanatumia ndizi kutengeneza
😁😁🤠!
Kumbe babu ndio Ngoswe mwenyewe dohh! Ulitishaa!
Mapenzi yanarun dunia asee kumbe hadi wazee yaliwatikisa 😊!
Ilikuwa ni tamu sana 😋🙌
Hilo tukio la Ngoswe, kiketokea miaka mingi sitaki hata kukumbuka Mjukuu 😜
Kwasasa tumewaachia Vijana wapambane nayo 😅
