Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20240412_144448_125.jpg
IMG_20240412_145957_091.jpg
 
Nitatongozeaje nyumba za watu sasa? Una akili za ajabu kweli.

Niliyemnukuu na kuweka hiyo picha kaelewa na hakuna habari za kumtongoza mtu hapa.

Sina njaa na “mądemu JF”.
kaelewa nini hebu toka huko wee mzee u.s.a baby hio nyumba yakwako au?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
🎵Aahh Smartttttt
Mchu chu chu chu (hahaha)

Kebo nabiso elinge banda
(asiye bambi)
Aah! Kebo nabiso bayuma bakota kate
(isiba-koti)
Hah chaba pwe( ehe)
Chabapwe nakacha bilete
Soda(ehe)🎵[/|]




Mrare unono wapendwa wacha nikapumzishe fuvu langu 🐒🐒 😴😴💤😴💤😴😴💤😴💤😴😴
 
🎵Aahh Smartttttt
Mchu chu chu chu (hahaha)

Kebo nabiso elinge banda
(asiye bambi)
Aah! Kebo nabiso bayuma bakota kate
(isiba-koti)
Hah chaba pwe( ehe)
Chabapwe nakacha bilete
Soda(ehe)
Soda mundu kiakamba
Bombo bombooo bombooo🎵


Mrare unono wapendwa wacha nikapimzishe fuvu langu🐒🐒 😴💤😴💤💤💤😴😴💤😴😴💤💤😴
Ningekuwa na namba ya Saida Karoli ningeomba dictionary yake kwaajili ya huu wimbo

Isije kuwa mashairi yanasema Wazee tunaongezwa pension Jumatatu halafu hatujui 😅😜
 
Ningekuwa na namba ya Saida Karoli ningeomba dictionary yake kwaajili ya huu wimbo

Isije kuwa mashairi yanasema Wazee tunaongezwa pension Jumatatu halafu hatujui 😅😜

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Saida karoli wa jirani na uganda 🤣🤣🤣🤭

Unaniua mbavuuu hukuuuu babuuuu!
Wazee ni hazina ya kipekee sana muishi miaka maelfuuu babuuuu!

Mjukuu wako hapo nishalewa rubisi ya kwa kwakina Saidaaaa hata sielewi naimba nini walai😁
 
🎵Aahh Smartttttt
Mchu chu chu chu (hahaha)

Kebo nabiso elinge banda
(asiye bambi)
Aah! Kebo nabiso bayuma bakota kate
(isiba-koti)
Hah chaba pwe( ehe
Chabapwe nakacha bilete
Soda(ehe)🎵[/|]




Mrare unono wapendwa wacha nikapumzishe fuvu langu 🐒🐒 😴😴💤😴💤😴😴💤😴💤😴😴
Ccy lugha gani hii?
 
Back
Top Bottom