Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_5818.jpeg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Saida karoli wa jirani na uganda 🤣🤣🤣🤭

Unaniua mbavuuu hukuuuu babuuuu!
Wazee ni hazina ya kipekee sana muishi miaka maelfuuu babuuuu!

Mjukuu wako hapo nishalewa rubisi ya kwa kwakina Saidaaaa hata sielewi naimba nini walai😁
Kweli nimezeeka Babu yenu, hiyo Rubisi ndiyo kinywaji gani Mjukuu?
 
Local made alcohol ya huku bushi babu!
Okay

Babu yenu nina Mwaka wa 50 huu natumia beer yangu pendwa ya John Walker 🍻 tu

Siku nikija huko nitajaribu kuonja hiyo beer yenu, perhaps could be somehow sweet 🤗
 
Okay

Babu yenu nina Mwaka wa 50 huu natumia beer yangu pendwa ya John Walker 🍻 tu

Siku nikija huko nitajaribu kuonja hiyo beer yenu, perhaps could be somehow sweet 🤗
Rubisi / kalinya Bia ya Wananzengo huku huwaambii kitu babu!
Kumbe babu ni mnywaji pombe ??? Dohh
 
Bia ya Wananzengo huku huwaambii kitu!
Kumbe babu ni mnywaji pombe???
Nimeona Mwanza pia huwaambii kitu na bia yao ya Balimi 😅

Of course huwa nakunywa Mjukuu, mara ya kwanza nilianza kunywa Mwaka 1973.

Mwaka 1978 nilikunywa kunywa hadi kupelekea kuandikwa kwenye kile Kitabu maarufu cha "Ngoswe penzi kitovu cha Uzembe"🙌
 
Nimeona Mwanza pia huwaambii kitu na bia yao ya Balimi 😅

Of course huwa nakunywa Mjukuu, mara ya kwanza nilianza kunywa Mwaka 1973.

Mwaka 1978 nilikunywa kunywa hadi kupelekea kuandikwa kwenye kile Kitabu maarufu cha "Ngoswe penzi kitovu cha Uzembe"🙌
Balimi nadhani ni kanda ya ziwa yote. hio Rubisi/ kalinya ni zile pombe za asili mfano wa gongo huku wanatumia ndizi kutengeneza

😁😁🤠!
Kumbe babu ndio Ngoswe mwenyewe dohh! Ulitishaa!
Mapenzi yanarun dunia asee kumbe hadi wazee yaliwatikisa !

Hatari sana
 
Back
Top Bottom