Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,209
- 183,050
Balimi nadhani ni kanda ya ziwa yote. hio Rubisi/ kalinya ni zile pombe za asili mfano wa gongo huku wanatumia ndizi kutengenezaNimeona Mwanza pia huwaambii kitu na bia yao ya Balimi 😅
Of course huwa nakunywa Mjukuu, mara ya kwanza nilianza kunywa Mwaka 1973.
Mwaka 1978 nilikunywa kunywa hadi kupelekea kuandikwa kwenye kile Kitabu maarufu cha "Ngoswe penzi kitovu cha Uzembe"🙌
😁😁🤠!
Kumbe babu ndio Ngoswe mwenyewe dohh! Ulitishaa!
Mapenzi yanarun dunia asee kumbe hadi wazee yaliwatikisa !
Hatari sana