Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
😂😂😂😂 Unataka kumponza uduguu wangu sasa?? Mwenzio huko aliko maziwa yamekauka sijui atamnyonyesha nini mtoto wetu jr….Nataka antonnia aje akusambaratishe![]()
Huu utetezi binafsi siko tayari kuelewa 😁Maza na mzee wangu wote wanyamwezi😁😁
Anajua ndiomana anajimix ananichachua hadi uduguu wake 😂😂😂😂antonnia anajua?
Kaka ulipona ugongwa wako wa misuli 😁😂Dogo shemeji yako Nuzulati Hakuna kitu ana penda, Kama kuni Tania😁😂.
👉So we mchukulie Kama joker tu😁
Dah mi sio mfupi the😁🙄Huu utetezi binafsi siko tayari kuelewa 😁
Am cool, Niko fresh Sana.Kaka ulipona ugongwa wako wa misuli 😁😂
ChingamanDah mi sio mfupi the😁🙄
😁🤣😁😂😂Fanya sana mazoezi achana na pu_____Am cool, Niko fresh Sana.
👉Ulikuwa ni uchovu was mwili tu
Pu--- ndo nini??, Shida yangu ili sababishwa na uchovu + kuto kulala kwa muda mrefu.😁🤣😁😂😂Fanya sana mazoezi achana na pu_____
Siku ukija kanda ya ziwa nishtue, uje mpk kwangu mdogo Charles kilianChingaman
😂😂😂😂😂Nkamu tulia kwanza, vipi disco la kule chengula hall vibe lake?!! 😂😂😂😂
Mrareeee unono 🤠🚶🚶🚶🚶🚶
😴😴😴😴
Uduguu hi 👋
Tumsaidie kumpatia umoto moto?Msaidieni huyu mwana JF
Mamlaka ichunguze sabuni hii, ukimaliza kuogea unasikia ubaridi makalioni
Mimi ni mwananchi Mwema hiki kiwanda kinachoitengeza sikijui. Hii ni mara ya Pili naogea sabuni hii hapa Mkoani Manyara ndani ya Hotel/Lodge fulani Babati Mjini. Kila nikimaliza kuoga nasikia ubaridi katikati ya sehemu ya haja kubwa mara ya kwanza sikuelewa leo mara pili nikiiogea tu ikiingia...www.jamiiforums.com
Tumsaidie nini?!Msaidieni huyu mwana JF
Mamlaka ichunguze sabuni hii, ukimaliza kuogea unasikia ubaridi makalioni
Mimi ni mwananchi Mwema hiki kiwanda kinachoitengeza sikijui. Hii ni mara ya Pili naogea sabuni hii hapa Mkoani Manyara ndani ya Hotel/Lodge fulani Babati Mjini. Kila nikimaliza kuoga nasikia ubaridi katikati ya sehemu ya haja kubwa mara ya kwanza sikuelewa leo mara pili nikiiogea tu ikiingia...www.jamiiforums.com
Ice menthol Ina wachanganya😂😁Tumsaidie kumpatia umoto moto?
Kwanini arudie kutumia zaidi ya mara moja ?Ice menthol Ina wachanganya😂😁