Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngojaa aje shem kantri akutibuee,
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
🤣😁😂😂 Kwamba huyo sio Mimi au😁😂🤣😁😁 na hapo sio dar es salaam kinondoni au 🤣😂🤣🤣
Pu--- ndo nini??, Shida yangu ili sababishwa na uchovu + kuto kulala kwa muda mrefu.
Kaka ulikuwa unafanya kazi ya ulinzi au
 
[emoji1787][emoji16][emoji23][emoji23] Kwamba huyo sio Mimi au[emoji16][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16] na hapo sio dar es salaam kinondoni au [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Kaka ulikuwa unafanya kazi ya ulinzi au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngojaa ajee wee subirii tyuuh.
 
hii menthol ni nini wataalam , 🤣 nakumbuka niliwahi kuwa na mzee baba alikua anapenda kuvuta sigara ya SM (SWEET MENTHOL) Anadai inakaubaridi anakasikia kanapita kwenye kifua ni kweli?🤣🤣
Ice menthol Ina generate ka ubaridi flani, kwa sigara sio jau.
👉Shida Kuna mdau ana tumia sabuni ya hivyo🤣🤣
 
aletuya

Wee DA tin uko wapiiii? Hebu kujaa hapa tuendelee tulipo ishia, mwenzioo sina rahaa ubuyuu wakoo sina vizurii, nakereketwaa balaaa,

Fanyaa ukuje hapaaa unijuzeee kipenziiii chakoo, na unajua bila umbea sina maishaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom