Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kantry najua umetulia unashusha essay yako, naomba acha kusema mambo yangu….
Nitayasimulia mwenyewe kwa muda ninaotaka, nakufahamu friji lako bovu….
Acha kunigombanisha na uduguu wangu 😂😂😂😂
Udugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?
Maana mimi naweza dhani Lamomy ni mkorofi kumbe umechokozwa huko pm 🤨
 
Udugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?
Maana mimi naweza dhani Lamomy ni mkorofi kumbe umechokozwa huko pm 🤨
Akwambie yeye anajua tuliyoyaongea na udugu wangu?? 😂😂😂😂
Uduguu wala hajanikwaza kivileee mpk tufikie huko, ila akiendelea kuleta uchizi ndo nitampa za chembe
 
Maza asha niambia ndugu yako kaa na kwa makini.
👉, isinge kuwa kukosekana kwa pilipili, basi angekula tumboni😁🤒.
FB_IMG_17083791505516128.jpg
 
Back
Top Bottom