Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,247
- 79,824
🤣😂😁😁😁Wana niita jobless pro max, kutoka milima ya u jobslesini😀
🤣😂😁😁😁Wana niita jobless pro max, kutoka milima ya u jobslesini😀
Udugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?Kantry najua umetulia unashusha essay yako, naomba acha kusema mambo yangu….
Nitayasimulia mwenyewe kwa muda ninaotaka, nakufahamu friji lako bovu….
Acha kunigombanisha na uduguu wangu 😂😂😂😂
Shem tuambie ukweli vinginevyo uzi uwe na amani yaishe 😁😁Hii imetoka moyoni
Basi ngoja nitulie
Babu mmoja hivi alimtuma eti akiona comment yangu mshipa wa ngiri unamsimama
Chondechonde niende piem nikampe hata hi
Nyie uduguu ananipenda ananitafutia mpk madanga.!! Ushawahi kuona hiyo??

mnajuana nyieKazi umemaliza uliyokua unaifanya?? Ukiongea hii issue tunagombana niko serious, wala sitanii….Hii imetoka moyoni
Basi ngoja nitulie
We nawe hebu acha kumjaza 😂😂😂Shem tuambie ukweli vinginevyo uzi uwe na amani yaishe 😁😁
Endelea kufa na kinyongo 😁😁We nawe hebu acha kumjaza 😂😂😂
Bado ngoja niendelee kufanyaKazi umemaliza uliyokua unaifanya?? Ukiongea hii issue tunagombana niko serious, wala sitanii….

Sikwambii kalale 😂😂😂Lamomy endelea kufa na tai shingoni 🏌️♂️
I swear mi sio mmakonde Kaka😀😂, baadhi Wana jua Hadi kwangu kwa huku nilipo😀😂.Duh kumbe mie huwaga ananipanga yupo mwanza kumbe ni chinga wa kimakonde 😂🤣😁😁😁
Mmakonde kwa Mama na Baba hebu image mkuu atakuwa na ufupi wa kiwango gani na ubishi 😁😁😁Duh kumbe mie huwaga ananipanga yupo mwanza kumbe ni chinga wa kimakonde 😂🤣😁😁😁
Akwambie yeye anajua tuliyoyaongea na udugu wangu?? 😂😂😂😂Udugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?
Maana mimi naweza dhani Lamomy ni mkorofi kumbe umechokozwa huko pm 🤨
Kwani ukisema ukweli utakufa 🐒🐒🐒I swear mi sio mmakonde Kaka😀😂, baadhi Wana jua Hadi kwangu kwa huku nilipo😀😂.
👉Mimi mrefu, med na mwembamba
Kweli bana sio vyema tustiliane ikibidi hapo udugu nakupa pongezi 👏🏿Akwambie yeye anajua tuliyoyaongea na udugu wangu?? 😂😂😂😂
Uduguu wala hajanikwaza kivileee mpk tufikie huko, ila akiendelea kuleta uchizi ndo nitampa za chembe
Kafanye 😂😂😂Bado ngoja niendelee kufanya![]()
Udugu wangu wala sina tatizo naye kabisaa..Kweli bana sio vyema tustiliane ikibidi hapo udugu nakupa pongezi 👏🏿
😂😂😂😂 Muache udugu wangu bana, leo kashinda hana raha kabisaaa….mnajuana nyie