Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Antonia uduguu wangu mi nampenda ndiomana namchana live na hata akinifurahisha nampamba live, halafu mi sio mnafiki namwambia ukweli….
Hata km ataumia ila ukweli kaupata, hata mimi nikizingua yy anichane ila kwa id yake halisi sio zile za michongo…..
Ukitaka ujumbe ufike vzr we mchane uduguu wako kwa id yako halisi….
Uduguu wangu nampenda sana alinitafutia hadi babu wa kutoka naye humu

Udugruuuu ana mambo, halafu yule babu wa kwake sasa sijui alitaka kugindua nini.??
Duh alikutafutia babu gan tena?
 
Hapa naomba ufafanuzi ko mlikuwadiana 🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️
😂😂😂😂 Nuzu mimi nipo na uduguu wangu jamani, uduguu ananipenda ww mpk muda huu bado nashangaa kwann alinifanyia vile??
Anyway labda shetani alimpitia, mi bado nampenda
 
😂😂😂😂 Nuzu mimi nipo na uduguu wangu jamani, uduguu ananipenda ww mpk muda huu bado nashangaa kwann alinifanyia vile??
Anyway labda shetani alimpitia, mi bado nampenda
Kwani ilikuwaje mpaka mkagombana na udugu wako,Watu wabaya sana mna wivu na penzi lao au kuna mengine😁😁
 
Back
Top Bottom