Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe aisee Mimi hata sijui kama aliwajbu huko pm .

Nilimpa eeh niliona watu wanasimanga sana huko pm kisa nipo nae .

Ila Jf 😂 wasiome couple ni wataleta maneno weh Hadi couple ife ..
Sema mimi nlkua nakuelewa bora skuskia hio issue ya 30 ingeniuma kama ndo mimi
Yan kama Yuda vipande thate
 
Aseee!
Sijawahi kuwa makini kusoma comments kama leo...asante usingizi kwa kukata,ningepitwa kwa hiki kidogo

Enwei,kama itawezekana naomba siku nyingine mfanye mchana jamani,ona sasa silali tena hadi mmalize

Ishu ya SATE nimetoka kapa
wee DA Jo kalaleee tyuuh, utaumiza kichwaa bureee. Huu uzi una wenyeweee.
 
Huyu Tin yy alikutana nao kabisa mcity ndo kilichomponza, hiyo ya kuwapa haina ukweli unaweza kuwadanganya km mimi wanavyoniuliza unakaa wapi nawaambia bonyokwa
Kumbe nimetulia mkoani huku muda huu nimetega jaba nakinga maji ya mvua
mie ndo hawajui washike lipiii, km ni demu au shogaaa, nabadilika kutokana na angle husika.

Afu nawaachia wao waamue waishi na lipiiiii.
 
Back
Top Bottom