Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu Tin yy alikutana nao kabisa mcity ndo kilichomponza, hiyo ya kuwapa haina ukweli unaweza kuwadanganya km mimi wanavyoniuliza unakaa wapi nawaambia bonyokwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe nimetulia mkoani huku muda huu nimetega jaba nakinga maji ya mvua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ndo hawajui washike lipiii, km ni demu au shogaaa, nabadilika kutokana na angle husika.

Afu nawaachia wao waamue waishi na lipiiiii.
 
Kumbe aisee Mimi hata sijui kama aliwajbu huko pm .

Nilimpa eeh niliona watu wanasimanga sana huko pm kisa nipo nae .

Ila Jf [emoji23] wasione couple ni wataleta maneno weh Hadi couple ife ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko Rab alikukula DA tin? Maana ysye alikataaa hakukula, na hakukutaka ila wee ndo ulikua unajilengesha kwake akukulee, je ni kweliii?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
20240226_105601.jpg

My mood is ongoing 🙏😁😂🤣
 
Kumbe aisee Mimi hata sijui kama aliwajbu huko pm .

Nilimpa eeh niliona watu wanasimanga sana huko pm kisa nipo nae .

Ila Jf 😂 wasione couple ni wataleta maneno weh Hadi couple ife ..
Oyooooo!! Kumbe kaka Rab alikula Tin 😂😂😂
Sasa kwann alikuwa anakuponda vile?? Au wivu? 😂😂😂

Tin endelea kumbe couple yako haikupendwa?? Maskini mwenyewe jamani…😭😭😭 nimelia sana
Kwahiyo bro sungura mzigo kala?? Na wote mlikojoa??
 
😂😂😂😂 Sasa kwann umesema “kitakuwa kenyewe, mana kilikuwa na mambo mengi” na inasemekana uliwachamba eti 😜
Uwii nimecheka jamani
Unanitafutia dhambi mm 😅😅

Kuna Moja alipiga simu na kuniambia niingie online niweke vitu clear aisee

ndugu yangu alimchamba hatari halafu mie nikamjibu na kizungu sijui .
 
Yaani hapo unashangaa la mwenzako hiyoo imoo [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km umeshazoea heka heka unaona zereu tyuuh, afu unaswampaaa km kauwaaaaa.

Hakuna kulengendeka, ni mbele mbelee hyooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko Rab alikukula DA tin? Maana ysye alikataaa hakukula, na hakukutaka ila wee ndo ulikua unajilengesha kwake akukulee, je ni kweliii?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada una elimu ya uchonganishi 😁😁😁
 
Hivi ile crew ya kipindi kile imeenda wapi au wamechange handle?
Crew ipi? Zitajee nikufafanulieee? Ila utalipiaaa?
Umbea siku hizi ni fursa, hata Mange anaishi South California kwa ajiri ya umbeaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom