Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tinsley
Waylen
Babe gal usiwe na wasiwasi kujichanganya na kuchangia chochote selfika au popote.
Sisi sote ni binadamu na sisi sote hukosea

Yule alokufanyia ule upumbavu alisahau kua yeye pia ni binadamu na ana madhaifu mengi pengine hata kukushinda wewe.

Hakuna binadamu alokua na mabaya tu hata wema pia.
Ukiona ujumbe wangu tafadhali
Ufanyie kazi.
 
Tinsley
Waylen
Babe gal usiwe na wasiwasi kujichanganya na kuchangia chochote selfika au popote.
Sisi sote ni binadamu na sisi sote hukosea

Yule alokufanyia ule upumbavu alisahau kua yeye pia ni binadamu na ana madhaifu mengi pengine hata kukushinda wewe.

Hakuna binadamu alokua na mabaya tu hata wema pia.
Ukiona ujumbe wangu tafadhali jua
Ufanyie kazi.
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
 
💚💚💚💚💛💛!🎵Ntakupenda leo kesho mpaka pumzi ya mwisho may be even more 💪🎶🎶🎶


Smart911 🤸💞💞💞💞💞!

Mrare unono wapendwaaa 💛💛💚💚✌️✌️
Na picha
 

Attachments

  • Screenshot_20240224-210016~3.jpg
    Screenshot_20240224-210016~3.jpg
    70.5 KB · Views: 2
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
 
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
 
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
Ifike wakati ajifunze kuwa na roho ngumu humu maneno yapo tu hayaishi!
Kwani mtu akimuongelea ye anapungukiwa nini??? Halii? Halalii??? Hanywi maji?? Hadinywi na mtuwe ??? Hapumuiii???

Hakuna cha kukosa wala kuomba msamaha mtu humu !
Kwanza watu wakikuongelea unakua supastar yani bila wewe hawana cha kujadili humu bila wewe hawasikiki jf🤠🤠🤠🤠🤠!
 
Back
Top Bottom