Nakusalimia ewe mrembo uliyejaaliwa moyo wa upendo, usiye na makuu na wala huringi, nimekumiss sana kiasi kwamba homa inapanda, hali yangu haiko sawa. Hebu niambie nikununulie zawadi gani usiku huu ili moyo wako utulie. NAKUPENDA SANA JAPO UPO MBALI NA UPEO WA MACHO YANGU!