Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

tulia dogo. Siku ile umenitumia meseji nilikuwa Mwanjelwa (we mnyakyusa wa mjini utakuwa hupajui ila Saint anne lazima anapajua) nilirudisha jibu halafu nikaweka tena simu mahali pake jioni naiangalia simu kumbe sikuwa na SMS kwa hiyo meseji ikawa imefeli kuja.
Sasa mbona ulikuwa unakana sijakutext?
Mwanjelwa ndo jikoni kwangu
 
Back
Top Bottom