Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,378
- 176,229




Si unaona sasa, halafu ndio huwa wanatambiana umri. Sasa shangaa kutoka hapo hadi aje ajilinganishe na sisi mama zake.




Hahhaha kwa umri wako na umri wa mwanao wa kwanza bado havitoe uhalisia,



tulia dogo. Siku ile umenitumia meseji nilikuwa Mwanjelwa (we mnyakyusa wa mjini utakuwa hupajui ila Saint anne lazima anapajua) nilirudisha jibu halafu nikaweka tena simu mahali pake jioni naiangalia simu kumbe sikuwa na SMS kwa hiyo meseji ikawa imefeli kuja.
Niweke screenshot au?
Mbona unatumia nguvu nyingi kujipa ukubwa?wacha muda wenyewe ukukuze
Nilichelewa kuzaa mkuu.Hahhaha kwa umri wako na umri wa mwanao wa kwanza bado havitoe uhalisia,
Kwa nini nisije au ndo ungeogopa kuonana na mama ako mdogo? Hapo natembea tu na kufika
Si unaona sasa, halafu ndio huwa wanatambiana umri. Sasa shangaa kutoka hapo hadi aje ajilinganishe na sisi mama zake.
Waangalie zisiwaponyoke kabisa.Wazishike adabu zao tena kwa mikono miwili
Haya nitafute siku ukija afu tuoneMmhh labda niote mimi
Eti nawe una mdogo wakoHalafu na kenyewe nilikaalika kakaniambia katakuja halafu hakakuja





Ungenialika mimi ningekujaHalafu na kenyewe nilikaalika kakaniambia katakuja halafu hakakuja
Haya nitafute siku ukija afu tuone
Nikija wapi?? Bado niko Mbeya mie hata joho la watu tu sijarudisha eti!!
Sasa mbona ulikuwa unakana sijakutext?tulia dogo. Siku ile umenitumia meseji nilikuwa Mwanjelwa (we mnyakyusa wa mjini utakuwa hupajui ila Saint anne lazima anapajua) nilirudisha jibu halafu nikaweka tena simu mahali pake jioni naiangalia simu kumbe sikuwa na SMS kwa hiyo meseji ikawa imefeli kuja.
Umejitahidi sana kubana mapajaNilichelewa kuzaa mkuu.
Eti nawe una mdogo wako![]()
Ungenialika mimi ningekuja
Basi tutafutane