Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,303
🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠! Tusi la rejareja hili mama pastaa hahahahaWale mashangazi tunajiandaa kwenda ibaya majivu,kwaresima
Valentine tumewaachia watt
🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠! Tusi la rejareja hili mama pastaa hahahahaWale mashangazi tunajiandaa kwenda ibaya majivu,kwaresima
Valentine tumewaachia watt
Kweli siye watu wazima jmn😅Sizitaki mbichi hizi...... 😃
🤣🤣🤣🤣Khaaaa
🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠! Tusi la rejareja hili mama pastaa hahahaha
Hahaha...........umetisha Mkuu, Kuna sehemu wanalima lima miwa panaitwa Mbegesela, umewahi kupasikia?Hahahahahahaha...hivyo hivyo Donge = Wivu ..sie wa kilosa..tindiga..ulaya ..ndio maneno yetu hayo
Watu wazina - wengine wamekufa?Kweli siye watu wazima jmn😅
Hahahahahaha..nimewahi kupasikia ila sijawahi kufikqHahaha...........umetisha Mkuu, Kuna sehemu wanalima lima miwa panaitwa Mbegesela, umewahi kupasikia?
Ndiyo nilisikia hayo maneno huko 🤗
Naona unawatumia wanafunzi kupukuchua mahindi 📸
🤣🤣🤣Watu wazina - wengine wamekufa?
Watu wazima - kuna mtu nusu?
Screen saver kabisa hii 🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂 ngoja nitoke huku
Nipo naokota visamaki vinipe mood ya kula ugali. View attachment 2903561
Usijali Mjukuu 😜Sawa babu msalimie mjukuu😁
Uko double maana Yesu unae moyoni.🤣🤣🤣
Basi Niko single
Sio mbali sana kutokea Mikumi....Hahahahahaha..nimewahi kupasikia ila sijawahi kufikq
we chalii miyeyusho laana
Hahahahaha...ni kile kijiji cha karibu na wamasai ? Wazo zuri kununua shambaSio mbali sana kutokea Mikumi....
Ukipata nafasi tembelea huko ukanunue mashamba ulime miwa, maana kama bei ya Sukari inafika 5,000/Kg ina maana lazima miwa itakuwa deal Siku za usoni
Ndiwooooo msiniangusheee! Tena mpite nakeddddd kabesaaa nimemiss kuwaona visuraaa!🤣🤣🤣🤣Khaaaa
Sijui kama ni karibu na Wamasai ila ni karibu na Kambi ya Mazoezi ya askari wa JWTZHahahahaha...ni kile kijiji cha karibu na wamasai ? Wazo zuri kununua shamba
Oooh nishapajuaSijui kama ni karibu na Wamasai ila ni karibu na Kambi ya Mazoezi ya askari wa JWTZ
Wakati napita huko niliona vibao vyao wakionesha ni eneo la JWTZ Mikumi