Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,874
- 37,651
Sa Tisa ukiwa umefika unapata siti nzuri tuOk Mungu akijaalia seat ya katikati...muda gani ..najua eneo ni pale pale Kawe ?
Sa Tisa ukiwa umefika unapata siti nzuri tuOk Mungu akijaalia seat ya katikati...muda gani ..najua eneo ni pale pale Kawe ?
Nkamuu
Umenitia uchungu
Naanza kuvaa socks
Mie nimetoka msibaniNasubiria selfie mkiwa mnapata lunch mchna huu na wapenzi wenu...na jioni selfie za dinner na drinks ...ili sie wengine tupate donge .tutafute wenza
Alipigwa ban kuingia huu uzi kipindi hicho vurumai limetokea hadi uzi kufungwaNkamu Heaven Sent yupo wapi sijamuona muda?
Hizi nilikuwa nampelekea Mjukuu nyumbani, bahati mbaya nikaanza kuzionja mwenyewe 😜Naona chama kwa mbali😁
Mie bado niko town .nilikuwepo msibaniMie nimetoka msibani
Naenda kupumzika 😅
We si unashindia keki na chai hutaki matunda wala mboga za majani😀Hatuoni
Nitajaribu kuwahi siku hySa Tisa ukiwa umefika unapata siti nzuri tu
Karibuni jmnNitajaribu kuwahi siku hy
Hahahaha......eti kupata donge 😅Nasubiria selfie mkiwa mnapata lunch mchna huu na wapenzi wenu...na jioni selfie za dinner na drinks ...ili sie wengine tupate donge .tutafute wenza
Nishakaribia Rafiki..tuombe Mungu siku hy tufike salamaKaribuni jmn
Hahahahahahaha...hivyo hivyo Donge = Wivu ..sie wa kilosa..tindiga..ulaya ..ndio maneno yetu hayoHahahaha......eti kupata donge 😅
Miaka fulani hilo neno nilisikia likitumika Mkoani Morogoro
Donge=Wivu
Tuko single mwayaKwahio nyie wengine ndo tuseme hamna wapenzi ama???
Ndio tuseme mmetingwa sana ????🤭 Siku bado haijaisha lakini tunasubiria mpendezeshe uziiiiiiiiii!
Lets meet badaeee nakeddd kama zoutreeeeee ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Story fupi fupi mafoto kwasana wapendwaaa
Naona unawatumia wanafunzi kupukuchua mahindi 📸Kwahio nyie wengine ndo tuseme hamna wapenzi ama???
Ndio tuseme mmetingwa sana ????🤭 Siku bado haijaisha lakini tunasubiria mpendezeshe uziiiiiiiiii!
Lets meet badaeee nakeddd kama zoutreeeeee ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Story fupi fupi mafoto kwasana wapendwaaa
Sawa babu msalimie mjukuu😁Hizi nilikuwa nampelekea Mjukuu nyumbani, bahati mbaya nikaanza kuzionja mwenyewe 😜
Sizitaki mbichi hizi...... 😃Wale mashangazi tunajiandaa kwenda ibaya majivu,kwaresima
Valentine tumewaachia watt