Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
Hahahahaha..wajaamka tuwasubiri
Hahahahaha..wajaamka tuwasubiri
nipoo mkuu...nimerejeaaa, kwemaa lakini
niende kwenye supu nipate nguvu za kukuhamisha huku mpaka diemu🤣🤣🤣🤣
Embu kalale usije ukachelewa supu asubuhi!😏
Hahahahahaniende kwenye supu nipate nguvu za kukuhamisha huku mpaka diemu
😂
🤣🤣🤣🤣Ndio Wizzy alivyokufundisha unidanganye na mkufu.??? 🤣🤣🤣🤣
Mwambie mbinu zake nazijua haziwezi kufanya kazi, ndoa hakuna
Kwann Shem🤣Ila mmenichanganya tayari
HahahahahaView attachment 2897559
Si mtu anibless na hili dude kwenye siku ya waongo duniani tunayoiendea?😊
🤣🤣Duh,ndio namsikia bwana harusi Kwa mara ya kwanza 🤣🤣
Kwani hutak nioleweKumbe umesaliti chama duh
Mimi ni nani ht nipingeMi wa kwanza NIMEKATAA Wizzy atajiju na huyo bwana harusi, naona kakomalia ushenga 🤣🤣🤣🤣🤣
HahahahahaMimi ni nani ht nipinge
Wajumbe watapitisha sbb ww ndo mwenyekiti🤣
Hahahahaha..uzuri wadau mpoJamani huu Uzi umerudi hauna ile amsha amsha km mwanzo
Mods ,mli inturupt sshv kitakuwa kijiwe Cha story tu😏
Aah lkn sio mzuri km mwanzoHahahahaha..uzuri wadau mpo
Hahahahahahaha...wale waliojifanya wajuaji ndio wameharibu..ila hata mimi sidhani kama mtatupia zile zenyewe zenyewe hata mkizi crop au kuweka emoj bado zilivutiaAah lkn sio mzuri km mwanzo
Tutaweka picha za mtandaoni tu
Zile halisi km mwanzo sidhani
🤣🤣🤣Hahahahahahaha...wale waliojifanya wajuaji ndio wameharibu..ila hata mimi sidhani kama mtatupia zile zenyewe zenyewe hata mkizi crop au kuweka emoj bado zilivutia
Ebu selfikamo mama mchungajiJamani huu Uzi umerudi hauna ile amsha amsha km mwanzo
Mods ,mli inturupt sshv kitakuwa kijiwe Cha story tu😏
Hapana mjep🤣Ebu selfikamo mama mchungaji
Utanoga tu ngoja tuwasubiri wadau wajeHapana mjep🤣
Uzi haunogi tena km mwanzo