Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,414
- 3,321
Hahaaaaa mchawi mstaafu nae anatupia michomo mikali.Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!
Hahaaaaa mchawi mstaafu nae anatupia michomo mikali.Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!
Ila mmenichanganya tayari
Dada mkubwa ndo nshasema hivo..!!Hhhahaaaa
Mulasil kaniangusha sanaBado tunaijadili posa ya mulasil kwahiyo hakuna uhakika wa kupata mke
Familia hatujatoa majibu ilo muweke akilini
Pole sana huamini unachokiona..?? 😂😂😂😂Ila mmenichanganya tayari
Mdogo wako anacheka hapa. Ananiambia dada mzoee. Nilianza kuogopa. Sijui uongee nae? Au a chat kwa akaunti yangu?Dada mkubwa ndo nshasema hivo..!!
Mpe taarifa na mshenga wako 😂😂😂
Siku nyingine usiweke battle na mimi sawa..??? 🤣🤣🤣🤣🤣Mulasil kaniangusha sana
Hatoi kabisa ushirikiano, ikiwa jana tu ametoka kuniambia hili
Mulasil ni either hampendi tayana au anamuogopa, alichoniambia jana na nachoona leo tofautiPole sana huamini unachokiona..??![]()
🤣🤣🤣🤣 Mwambie atoke uko kabla sijachuma fimboMdogo wako anacheka hapa. Ananiambia dada mzoee. Nilianza kuogopa. Sijui uongee nae? Au a chat kwa akaunti yangu?
We si ulitaka ligi mbebe mwari kireja reja umeona omulasil kakuchania mkeka 🤣🤣🤣🤣Mulasil ni either hampendi tayana au anamuogopa, alichoniambia jana na nachoona leo tofauti
Hapa na Nairobi si naenda kwa mguu tu? Siku nikienda nitaomba koneksheni 😂Itakua ni huu mkaa nlonunua Nairobi!🤣🤣🤣🤣
Embu tupia kwanza nifurahi!
Hakika.
Chief nani anatumia ID yako leo?Leo ningependa pia nitambulishe couple ambayo binafsi ni mhusika na rafiki wa karibu wa hao watu na mafoto yatafuata soon
Ni Kati ya Tayana-wog na ndugu yangu Omulasil
Yanawekwa wazi ili kuzuia mambo Kama yale yaliyosababisha hii post ikapigwa ban