Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Intelligent businessman karibu ufe njaa!!😁
20230825_221351.jpg
 
Kabla hujavamia mapenzi ya watu unatakiwa ujipime kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa Antonia lile hips na ile rangi afu atupie [emoji160] moto wake unakuwaje??

Haya mwenzangu na mie huyo dada mbong’oko naye kachokaaaa km betina katupia [emoji160] amtege bwana lahaulah lakwata!!! Bwana nasikia kwanza alitupa simu chini kwa mshtuko ( hii nimetunga) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaona isiwe shida ka4ward kwa Antonia ajionee mshindani wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Km mbwa wa kisomali aliyepigwa na njaa ya vita kali
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]balaaaaa
 
Wewe tena[emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]sipati notification dahh

Nawe umezidi shogaangu nikitulia nitakumwagia pdf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umbea ushakushinda umezeeka
 
Tapikaaaa shouzzzzzz,
Temaaaaa temaaa manenooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]kaanga mbuyu kama Marioo..kaaaachia wenye meno wanatafuna tuuu
 
Back
Top Bottom