Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We mlongo insta umepitaaa?!.nilikuja kukuita nakutana na mambo meusi tiii...siwawezi huku miyeee
Nipoo huko insta, Umeona Domo katoa neno, mashalove kaingilia, mange kamlipuaa,

insta kumenogaaaa.
 
subiri nivurugwee, niamke na Mjep sijuii tutaachana au ndo nn, itafahamika hapo hapo.

Mjep wee babaa tamuuu naomba maokoto ya mwisho wa mweziii.

Sema unataka pesa!! Usimtishe shem angu eboooh!!!
Afu we msungo?? Mume unamuomba pesa kwa watu wengi?!! Tukurudishe mkoleni
 
Insta kunani Tena
Mambo ni motroooo
Kuna balaa Kuna watu wana Mungu wa jamani
Aby Chams kachokozwa na Marioo,Gigy akaingilia ugomvi kaanza kumchamba Marioo bwana wee Mange akaingilia kumtetea abychams,mara zuchu akaingilia kati,wewee Zuchu kajikuta anachambwa na Gigy na Mange,Masha love kaingia Mtu kati ,baba levo na Esma nao hao mpk natoka Instagram nimeacha Dangote anampetipeti bibi Zuhura
Mwisho tumejua michezo ya Diamond ya tigo halafu kumbe aliwahi mlewesha Zuhura na akamuingilia kinyume na maumbile Kwa nguvuuu kikaitwa kikao Cha Cha pande mbili maana zuchu alienda shtaki kwa mama Ake baasi kwenye kikao bi Khadija kamsusa Zuhura Kwa Bwana Nasib byeee
Narudi kwanza Instagram
 
Sema unataka pesa!! Usimtishe shem angu eboooh!!!
Afu we msungo?? Mume unamuomba pesa kwa watu wengi?!! Tukurudishe mkoleni
namuomba hapa makusudii ili watu wote waoneee, huyu ni wanguu sasa nijibanee nn?

Unataka baadae tukiachana aambie watu nilikua namuomba pesa huko sirini? Wee kuwezaaa

Mjep baba tamuuuu naomba maokoto ya mwezi,
 
Kuna balaa Kuna watu wana Mungu wa jamani
Aby Chams kachokozwa na Marioo,Gigy akaingilia ugomvi kaanza kumchamba Marioo bwana wee Mange akaingilia kumtetea abychams,mara zuchu akaingilia kati,wewee Zuchu kajikuta anachambwa na Gigy na Mange,Masha love kaingia Mtu kati ,baba levo na Esma nao hao mpk natoka Instagram nimeacha Dangote anampetipeti bibi Zuhura
Mwisho tumejua michezo ya Diamond ya tigo halafu kumbe aliwahi mlewesha Zuhura na akamuingilia kinyume na maumbile Kwa nguvuuu kikaitwa kikao Cha Cha pande mbili maana zuchu alienda shtaki kwa mama Ake baasi kwenye kikao bi Khadija kamsusa Zuhura Kwa Bwana Nasib byeee
Narudi kwanza Instagram
Dai anamla kinyeo Giggy wakishalewa sembe, woiiiiiiih

Instaa ni balaaaa. Uwiiiiiiih
 
namuomba hapa makusudii ili watu wote waoneee, huyu ni wanguu sasa nijibanee nn?

Unataka baadae tukiachana aambie watu nilikua namuomba pesa huko sirini? Wee kuwezaaa

Mjep baba tamuuuu naomba maokoto ya mwezi,

Inatakiwa uombe huku umebong’oka ili kumshawishi akuchanie wallet

Habari ya town kubong’oka shauri ako
 
Kuna balaa Kuna watu wana Mungu wa jamani
Aby Chams kachokozwa na Marioo,Gigy akaingilia ugomvi kaanza kumchamba Marioo bwana wee Mange akaingilia kumtetea abychams,mara zuchu akaingilia kati,wewee Zuchu kajikuta anachambwa na Gigy na Mange,Masha love kaingia Mtu kati ,baba levo na Esma nao hao mpk natoka Instagram nimeacha Dangote anampetipeti bibi Zuhura
Mwisho tumejua michezo ya Diamond ya tigo halafu kumbe aliwahi mlewesha Zuhura na akamuingilia kinyume na maumbile Kwa nguvuuu kikaitwa kikao Cha Cha pande mbili maana zuchu alienda shtaki kwa mama Ake baasi kwenye kikao bi Khadija kamsusa Zuhura Kwa Bwana Nasib byeee
Narudi kwanza Instagram

Ko watu wametatuliwa marinda?? Ko zuu bikra zote hanaa!!!
Sasa ile minenguo yake itakuaje si ataachia kimba!!! Bongo shetani alishaweka sehemu yake ya kupumzikia
 
Back
Top Bottom