Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Intelligent businessman karibu ufe njaa!!😁
Kabla hujavamia mapenzi ya watu unatakiwa ujipime kwanza
Sasa Antonia lile hips na ile rangi afu atupiemoto wake unakuwaje??
Haya mwenzangu na mie huyo dada mbong’oko naye kachokaaaa km betina katupiaamtege bwana lahaulah lakwata!!! Bwana nasikia kwanza alitupa simu chini kwa mshtuko ( hii nimetunga)
Kaona isiwe shida ka4ward kwa Antonia ajionee mshindani wake
Km mbwa wa kisomali aliyepigwa na njaa ya vita kali



balaaaaaWewe tenasipati notification dahh




Acha kabisaaaa! Juzi nilikuuliza sehemu nikaona kimyaaaa !!
Zausoooooo kam kauwaaa hakuna hata ya maana!! Walai nimemkumbuka sana mzee wakutabasamu mimii!![]()
ngoja nimalize niende Instagram kwa Mange



nisubiri nikamwangalie MangeOya kazi ya juu imesimamia ukucha
We mlongo insta umepitaaa?!.nilikuja kukuita nakutana na mambo meusi tiii...siwawezi huku miyeeewee hogopiiii?? Chako changu, changu ni changu.
Baada ya kukuona nafsi ya kapachino imetulia Sasa.Basi mabwaku hii week, inafungwa kibabe sana![]()
hapo small planet sinaga bahati napo ( nalalaga njaa sana hapo ).. naanzia samaki samaki.. alafu nashuka kitambaa cheupe.. 😅😅😅😅😅Oya kazi ya juu imesimamia ukucha
Njoo small planet hapa tubambie chief
Tapikaaaa shouzzzzzz,
Temaaaaa temaaa manenooo.
![]()





kaanga mbuyu kama Marioo..kaaaachia wenye meno wanatafuna tuuuNaam kwa jesca kikumbi kwa Sasa nikabali yao haswa.hapo small planet sinaga bahati napo ( nalalaga njaa sana hapo ).. naanzia samaki samaki.. alafu nashuka kitambaa cheupe.. 😅😅😅😅😅