Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna jamaa alikuwa hajawahi kula tunda kimasihara, sasa akaenda kwa mganga wa kienyeji ili amfundishe na kumpa mbinu za namna ya kula tunda.
Sasa Mganga akamwambia kwanza kabisa aje na pisi kali, jamaa akaleta pisi kali, Mganga akamuambia vueni nguo wote, haya kijana panda hapo juu, haya chomeka mzigo. Jamaa akachomeka.

MGANGA: Sasa kijana nikipiga ngoma unachomeka, nikipiga tena unachomoa sawa?

KIJANA: Sawa mganga.

MGANGA: Kijana hakikisha unaendana na mdundo wa ngoma usikosee hata kidogo.

KIJANA: Sawa Mganga.

mganga akaanza kupiga ngoma akipiga jamaa anachomeka, akipiga jamaa anachomoa, jamaa aliponogewa akapiga kelele akisema "Mganga ongeza spidi, ongeza spidi mganga"

MGANGA: Kijana usinifundishe kazi.
KIJANA: Mganga nakuomba ongeza spidi ya kupiga ngoma.

Mufindi
 
Trenaaaaa wakomeee kuniita shangazi sijazaliwa tumbo moja na baba zao Hivi wanajua mashangazi yalivo???? Mie najizima data tu humu ninavojiita shangazi ukiweka sura zetu kibaooo tu wanaonekana wazee kabisa achilia ushangazi !

Wanajifanya wakareee wazuri classic mbwaakoko tuuu hiki kitambi cha uzazi wasenggge nyieeeee mtaishia kutoa mimba na kutupa vitoto chooni mazafantazzzz!!!
🙌🙌😁😁Wasamehe mama wamekoma
 
Ila wadada baadhi wa Humu, mna chekesha Sana.
Mna act ni marafiki, ila still mna snitch ana.
Mme tengeneza team za kutusiana dah.
Uki uliza kisa, utabaki una jichekea
Ni upumbavu na uzwazwa wa hali ya juu
Kama wamekosa malezi.

Kila siku kutupiana vijembe.

Wanatudhalilisha wanawake wenzao.
 
Unamchukia mtu bila sababu???? Lazima kutakua na chanzo!!!
Usipende kuingilia vitu usivyokua na uhakika navyo ailimradi watu wamekujaza maneno tu huko wewe unakurupuka!!

Jana uliniambia mie nawachawia nawachafua watu humu Naomba uniambie nilichowafanya hao watu wako! Hilo tu

Kwann lkn??
 
Humu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!

Kuna manara humu??
 
Back
Top Bottom