Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,674
- 39,090
Sawausicheke hivi😁mremboo bali Cheka hivi🤩🥰😘😋
Sawausicheke hivi😁mremboo bali Cheka hivi🤩🥰😘😋
Nikitoka kanisani nakuwepoNataka nikukute mwenyewe
Duh na umepitwa hasa shost
Baade basi
Nitakuita




Pole sana na hongeraMadam mimi niko poa sana
Nilibanana na majukumu ya wanafunzi leo
Umepotea sana
Hivi umeselfika kweli?😜
Huu uzi yaani ibilisi kaweka makao makuu hapa😁😁😁Huu uzi bwana😂😂😂😂
Mello njoo uchukue watu wako🤣🤣🤣
Ujinga ni mwingi
Yaani kwakweli sijui ss utanisimulia kipi uache kipi😅Afu ulipotea sana na wewe!!! Vitu vingi vimetokea mpk tunashindwa kukusimulia![]()
Huu uzi bwana
Mello njoo uchukue watu wako
Ujinga ni mwingi



Nikitoka kanisani nakuwepo
Ila hadi kutoka ni jioni



Yaani kwakweli sijui ss utanisimulia kipi uache kipi
Majukumu shooo
😂😂Huu uzi bwana😂😂😂😂
Mello njoo uchukue watu wako🤣🤣🤣
Ujinga ni mwingi
Nime kosa Cha kuku jibu, ila huwa naamka mida Hiyo.Hujalala unasubiri vocha pacha?![]()
Na upo addictive sana 😀Huu uzi yaani ibilisi kaweka makao makuu hapa😁😁😁
Positive thinking, Kama hii ndo Ina hitajika🙏💪.Ni upumbavu na uzwazwa wa hali ya juu
Kama wamekosa malezi.
Kila siku kutupiana vijembe.
Wanatudhalilisha wanawake wenzao.
Sina uhasama wowote, hata my sis trudie ana jua mi mtulivu.Naamini wewe ni mtu mwema ila kwa nini unaishi kwa uhasama
😁😂🤣🙃Pole sana wifi,
Yaani 😁😁Na upo addictive sana 😀
Wii upo?