Selfika na JF: Snap it. Show it


mwaka juzi hio nilikua nakujenga hapa jukwaani uache kuliwa butthole huko halafu uwe unakuja kutupigia story zako hapa.

Mie si wa kukosa soko, we ukiniona utathibitisha hilo, sijafika 40 na sijafika 35, sasa huo utu uzima unaonipa sijui hizo ramli umepatia wapi.

Mtu anayenifahamu ni Post M-alone uje umuulize status yangu kijana. Pumbuvu.
 
Hio ipo sana humuu shoss akee hujaizoea tu??!
Khakhakhaaaa!! kwa unaa uliopo humu walikua wanamtumia sana picha zangu na blah blah kibaoooo eti wanamshauri nyieeee! Afu anayaleta kama yalivoooo!!
!!

Dj waleteeeeeeee!!!
Hivi kwann watu hawajiamini na misura yao iliochachuka mpk watumie pic zetu wapenzi wetu jamani khaaaaaa!!!

Wawe wanatuma mapanki yao Mxxiewwww
 
Y'all know me, still the same OG
But I been low-key
Hated on by most these niggas
With no cheese, no deals and no Gs
No wheels and no keys
No boats, no snowmobiles and no skis
Mad at me 'cause I can finally afford to provide my family with groceries

Intelligent businessman unajua hii ngoma ya nani πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…