Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,674
- 39,090
Hata kama upo kama jaba tuma hivyo hivyo😌Nipo Kama tanki la maji🤣😂😂🤣
Hata kama upo kama jaba tuma hivyo hivyo😌Nipo Kama tanki la maji🤣😂😂🤣
😍😍😍Nitumie maana huyu kuna mda anazingua picha yake itanifaa kwa matumizi ya baadae 😬😁😁😁Subiri nitakuletea![]()
Ninge selfika, ila kwa u snitch huu🤔.😍😍😍Nitumie maana huyu kuna mda anazingua picha yake itanifaa kwa matumizi ya baadae 😬😁😁😁
La Lita 15000 🤣😂😂😂La lita 3000![]()
Aliyekufundisha hilo neno kidampa apewe tuzo. .Naona bado hujasema, ila unataka kusema,
Kidampaaa mwenzakoo niko sehemu nimetulia tulii ndo maana sihangaiki na watu wengine au wasio nihusu, nakula, nashiba, nazagamuliwa afu nalala, ko makasiriko na hasira mie sio shida zangu.
Poleee weyeee ambayee unateseka na mie miaka yoteee, nishavuka hizo level,
Mateso na maumivuu ni endelevuuuu.
kwa kichefu chefu cha safarii hii basi utaharishaaa sio Kutapika tenaaa.
Hata kama upo kama jaba tuma hivyo hivyo😌
Picha yako itapatika iwe mvua iwe jua 😬😁😁😁ngoja cute wife aingie kazini 😁😁😁Ninge selfika, ila kwa u snitch huu🤔.
👉 Uta subiri Sana😁🤣
Malipuzi 360 🤣😂🤒Aliyekufundisha hilo neno kidampa apewe tuzo. .
Huna chochote zaidi ya kutujazia vi imoji vya kujichekesha nyuzi nzima.
Wanawake wanajiamini humu wana mishepu ya maana na wewe unasogeza tako lako kujilinganisha🤣.
Picha zenyewe huweki kucha kutwa kujichekesha na vi imoji.
Tuache tu flirt na wanawake wanaojielewa, nani wa ku deal na hio mifupa kwanza kalio lenyewe gumu kama jiwe🤣
huyo anayekuzagamua naye ana kazi🤣🤣🤣, sipati picha, anavumilia mengi.
Uki ipataNita kutumia tray 5 za bure😁😂🤣.Picha yako itapatika iwe mvua iwe jua 😬😁😁😁ngoja cute wife aingie kazini 😁😁😁
Kwa nini kalio gumu kama jiwe sijapendaa 😬😬😁😁😁Aliyekufundisha hilo neno kidampa apewe tuzo. .
Huna chochote zaidi ya kutujazia vi imoji vya kujichekesha nyuzi nzima.
Wanawake wanajiamini humu wana mishepu ya maana na wewe unasogeza tako lako kujilinganisha🤣.
Picha zenyewe huweki kucha kutwa kujichekesha na vi imoji.
Tuache tu flirt na wanawake wanaojielewa, nani wa ku deal na hio mifupa kwanza kalio lenyewe gumu kama jiwe🤣
huyo anayekuzagamua naye ana kazi🤣🤣🤣, sipati picha, anavumilia mengi.
Mbona ka una chochea😂🤣😁Kwa nini kalio gumu kama jiwe sijapendaa 😬😬😁😁😁
😊Raha ya ugenini ufurahie😂🤣, ila uli misika Dr Lizzy .
👉Kama vipi tupikie ugali kilo 3, tuje mimi na National Anthem
Halafu huu uzi nilikuwa nataka kuupotezea ila wewe na tag zako 😕😕😬😬Mbona ka una chochea😂🤣😁
Ewaaa hapo afadhali, usinge na ka ugali kilo 1.😊
Nimebandika makande yanakaribia kuiva, mnakuja saa ngapi?




Ogopa wadada wanao vaa tu sendoz twa hivi😁🤔.View attachment 2727348Mguu wa kutoka😂