Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naona ume memetisha rangi ya kucha na sendo😁🤣🏃🏃🏃🏃
F2CD2354-844B-4E60-B4ED-39CB363E5A91.jpeg
Na mkononi pia
 
Naona bado hujasema, ila unataka kusema,

Kidampaaa mwenzakoo niko sehemu nimetulia tulii ndo maana sihangaiki na watu wengine au wasio nihusu, nakula, nashiba, nazagamuliwa afu nalala, ko makasiriko na hasira mie sio shida zangu.

Poleee weyeee ambayee unateseka na mie miaka yoteee, nishavuka hizo level,
Mateso na maumivuu ni endelevuuuu.

kwa kichefu chefu cha safarii hii basi utaharishaaa sio Kutapika tenaaa.
Huna u special wowote, huna kigezo hata kimoja cha kuwa na mtu, peleka mifupa yako huko, 🚮
 
Back
Top Bottom