Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,030
- 95,546
Selfika Sasa warda🤒Nakuuzooom,
NACHEKAAAAAA, Kwa HERUFI KUBWA,
Selfika Sasa warda🤒Nakuuzooom,
NACHEKAAAAAA, Kwa HERUFI KUBWA,
Huna chochote, huna lolote, huyo anayekufuatilia mtazame vizuri itakuwa anataka akuchemshe anywe supu, hana nia njema.
Tuache kufuatilia wanawake wanaojielewa humu tuje ku deal na m**du wa mtu asiejielewa, katafute soko machinjioni ukawe nyama choma.
Kwanza uwe unakaa kimya unachefua sana.



huu muandiko km naujua ila sikumbuki niliuona wapi?!!!We SI uli sema Ume left kausha damu😁.Huu uzi si nimeandika nime left😬
Sasa mbona mna Pigana vijembe kila saa![]()



😬😬😬
Aki selfika niitwe mbwa😬Na nani?? Humu tunasogeza masaa yaende tupumzishe mafuvu mana kuselfika hamtaki!!!
Tukiselfika wanabeba pic zetu sasa tufanyeje??
Basi selfika tukuone![]()
Wapinzani niliowafunga 3 bila mwaka juzi, siwatakiii nataka maingizo mapyaaa.
Wakuze viwango kwan afu ndo wajee tenaa.
wanakabwa na wanafungwaa, kipa sio katoka golini, ni hayupo kabisaaa.



🤣Kuliko joto la humu,humu kuna joto balaa.
AiseeWapewe,waibebe nzima,nzima wasiache hata like.
Selfika Sasa warda![]()




,tuendelee kuiombea selfika kwanza,Yaani naitafuta picha yake kama pesa😬😬Hawezi nasikia yupo km braza k![]()
Sina baya na mtu🤒 NuzulatiNa nani?? Humu tunasogeza masaa yaende tupumzishe mafuvu mana kuselfika hamtaki!!!
Tukiselfika wanabeba pic zetu sasa tufanyeje??
Basi selfika tukuone.
Hata bhana🤗,tuendelee kuiombea selfika kwanza,
Hii ya kizombi hatuitakii 😕
Leta hela niku uzie😁🤣😂Yaani naitafuta picha yake kama pesa😬😬
Nipo Kama tanki la maji🤣😂😂🤣Hawezi nasikia yupo km braza k![]()
Weka namba 😬Leta hela niku uzie😁🤣😂