Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unajipigia debe humu kwamba una soko na rangi unayo , umedoda hadi umeamua kujifanyia marketing kwa maneno, picha yenyewe huweki kazi kupiga domo tu, hakuna mtu wa ku flirt na wewe humu.
Tuna flirt na pisi zinazojielewa, sio wewe Skin and Bones, huna kila kitu, Ptuuuu!!!
wachaa nichekeee, kidampaaa umekujaaa tenaaa, mwenzako soko ninalooo sio humu tyuuh had uraianiiiii.

Umedoda weyeee unaetesekaa na mie, Una pisi ya kudate nayo weyeee, wee mwenyewe pisi uliyokosa hata wa kukupigia mluziiiii.

Mjombaaa maresh umebakiii na kusema "ptuuuuu"
Huwa si deal na vidampaa wasio jikubaliii, afu watu wazimaaaa, nataka kuchachuanaa na vigorii wenzanguuu.

weraaaaaaaa weraaaa.
 
Usimuamshe, muache apumzike.
PAY-Wispa-the-dog.jpg
Kumaanisha nini 😂🤣
 
Kwa kweli wale Wajukuu walipanga wanikomeshe Babu yao

Maana kuna mmoja nilimsikia anasema eti Ujana wake ale na nani Uzee wake ale na sisi wacha tumkomeshe.

Wale watu hawana huruma kabisa kwa Wazee

Ni fisi maji hizo babu muulize Mpwayungu akupe habari zao!!! Wanakunywa pombe km wamefunga mota dadeq

Wanaagiza bucket bucket sio beer moja wanalamba lamba mpk wanajing’ata

Siku nyingine wakimbie kabla bill haijaja waeke bond mawig yao
 
Ni fisi maji hizo babu muulize Mpwayungu akupe habari zao!!! Wanakunywa pombe km wamefuta mota dadeq

Wanaagiza bucket bucket sio beer moja wanalamba lamba mpk wanajing’ata

Siku nyingine wakimbie kabla bill haijaja waeke bond mawig yao
nimecheka km chizii, siku hizi wigi ni assets, mbna sina taarifa.??
 
nimecheka km chizii, siku hizi wigi ni assets, mbna sina taarifa.??

Mawig assets we ulikua hujui?? Ss hivi huoshi vyombo ni unaweka wig na mkoba bond, ukipata pesa unapeleka unabeba mizigo yako

Kazi ipo km umenyoa kaoge style hapo hatuna cha kukusaidia ni ku pambana na hali yako!!!
 
Mawig assets we ulikua hujui?? Ss hivi huoshi vyombo ni unaweka wig na mkoba bond, ukipata pesa unapeleka unabeba mizigo yako

Kazi ipo km umenyoa kaoge style hapo hatuna cha kukusaidia ni ku pambana na hali yako!!!
uduguuu sikuweziii, hadi Kaoge amehusikaaa hapaaa, woiiiiiih.

Mbna unatishaa watu sasa,
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom