mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,933
sahihi, kwanini nipige wakati msosi bei che mitaa hiiFull kwenda ma restaurant 😂🤣
sahihi, kwanini nipige wakati msosi bei che mitaa hiiFull kwenda ma restaurant 😂🤣
Kwanza kwa nini umefikiri mimi napenda cougars?sasa 45 utapataje cougars wakati mko sawa😂 kua rhino/manther
Aisee, mshukuru Mungu, hata mimi pia. Kuna wakati huwa natafakari sana ukuu wake, yaani sijawahi lazwa kitanda cha hospital ila kuna ambao maisha yao yapo hapo. God is great.nina mwaka sasa sijaumwa bado
swali gumu sana😂 nimekisia tuKwanza kwa nini umefikiri mimi napenda cougars?
Swali limekuwaje gumu wakati umeshajibu napenda cougars?, nachokuomba ni maelezo tu, umejibu swali nionyeshe njia jinsi ulivyopata hilo jibu.swali gumu sana😂 nimekisia tu
it's just a vibe, si unajua😂Swali limekuwaje gumu wakati umeshajibu napenda cougars?, nachokuomba ni maelezo tu, umejibu swali nionyeshe njia jinsi ulivyopata hilo jibu.
Mzee wa lishangazi, huwa nakuona humu jinsi unavykubali mishangazi.it's just a vibe, si unajua😂
mi mwenyewe cub, japo sijawahi fanikiwa
nataka nipate official diagnosis ya gerontophilia ili confidence ipandeMzee wa lishangazi, huwa nakuona humu jinsi unavykubali mishangazi.
Mishangazi hapa ndipo mahala pake, sidhani kama kuna platform ina mishangazi kama JF duniani.nataka nipate official diagnosis ya gerontophilia ili confidence ipande
Tupo aiseeMishangazi hapa ndipo mahala pake, sidhani kama kuna platform ina mishangazi kama JF duniani.
You are at the right place... Ukikosa lishangazi hapa nitashangaa sana..
Njoo inbox tunawatafuta sana au nikufuate? 😀Tupo aisee
Mimi ni shangazi ila sio cougar😂
au sio unataka kuprowl😂
Mshamba hachekwi nilikuambia hapa mishangazi ni yakutosha...Mimi ni shangazi ila sio cougar😂
anafaa huyo kanizidi kidooogo😋 ila pointi ni kwamba kanizidiMshamba hachekwi nilikuambia hapa mishangazi ni yakutosha...
Kidogo?😂😂anafaa huyo kanizidi kidooogo😋 ila pointi ni kwamba kanizidi
Amesema ye ni lishangazi.. kijana una feli wapi?au sio unataka kuprowl😂
Sasa si ndio maana ya kuwa cub au?anafaa huyo kanizidi kidooogo😋 ila pointi ni kwamba kanizidi
Mwambie huyoAmesema ye ni lishangazi.. kijana una feli wapi?