Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wachaa nichekeee, kidampaaa umekujaaa tenaaa, mwenzako soko ninalooo sio humu tyuuh had uraianiiiii.

Umedoda weyeee unaetesekaa na mie, Una pisi ya kudate nayo weyeee, wee mwenyewe pisi uliyokosa hata wa kukupigia mluziiiii.

Mjombaaa maresh umebakiii na kusema "ptuuuuu"
Huwa si deal na vidampaa wasio jikubaliii, afu watu wazimaaaa, nataka kuchachuanaa na vigorii wenzanguuu.

weraaaaaaaa weraaaa.
Huna chochote, huna lolote, huyo anayekufuatilia mtazame vizuri itakuwa anataka akuchemshe anywe supu, hana nia njema.
Tuache kufuatilia wanawake wanaojielewa humu tuje ku deal na m**du wa mtu asiejielewa, katafute soko machinjioni ukawe nyama choma.

Kwanza uwe unakaa kimya unachefua sana.
 
Huna chochote, huna lolote, huyo anayekufuatilia mtazame vizuri itakuwa anataka akuchemshe anywe supu, hana nia njema.
Tuache kufuatilia wanawake wanaojielewa humu tuje ku deal na m**du wa mtu asiejielewa, katafute soko machinjioni ukawe nyama choma.

Kwanza uwe unakaa kimya unachefua sana.
Naona bado hujasema, ila unataka kusema,

Kidampaaa mwenzakoo niko sehemu nimetulia tulii ndo maana sihangaiki na watu wengine au wasio nihusu, nakula, nashiba, nazagamuliwa afu nalala, ko makasiriko na hasira mie sio shida zangu.

Poleee weyeee ambayee unateseka na mie miaka yoteee, nishavuka hizo level,
Mateso na maumivuu ni endelevuuuu.

kwa kichefu chefu cha safarii hii basi utaharishaaa sio Kutapika tenaaa.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Kwan tuna wapinzani humu?? Wanavaa jezi namba ngapi?? Wanakaba au wafungaji??
Wapinzani niliowafunga 3 bila mwaka juzi, siwatakiii nataka maingizo mapyaaa.


Wakuze viwango kwan afu ndo wajee tenaa.
wanakabwa na wanafungwaa, kipa sio katoka golini, ni hayupo kabisaaa.
 
uduguuu sikuweziii, hadi Kaoge amehusikaaa hapaaa, woiiiiiih.

Mbna unatishaa watu sasa,

Niliwahi kukutana naye coco nikamtazama jibu alilonipa nilichooka!!!

Eti, “Mitako ile emu fanya mambo yako, nitakuibia bwana huyo ulie”
 
  • Mshangao
Reactions: 511
Back
Top Bottom