Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,310
Umetisha MjukuuFanya hivyo tena wapeleke wanakouza Windhoek moja elfu 10 ili walie vizuri![]()
Umetisha MjukuuFanya hivyo tena wapeleke wanakouza Windhoek moja elfu 10 ili walie vizuri![]()
Fanya hivyo tena wapeleke wanakouza Windhoek moja elfu 10 ili walie vizuri![]()



uduguuu utafika mbingunii kwa kutambaa, magoti yanachucha damuu.Huna chochote, huna lolote, huyo anayekufuatilia mtazame vizuri itakuwa anataka akuchemshe anywe supu, hana nia njema.wachaa nichekeee, kidampaaa umekujaaa tenaaa, mwenzako soko ninalooo sio humu tyuuh had uraianiiiii.
Umedoda weyeee unaetesekaa na mie, Una pisi ya kudate nayo weyeee, wee mwenyewe pisi uliyokosa hata wa kukupigia mluziiiii.
Mjombaaa maresh umebakiii na kusema "ptuuuuu"
Huwa si deal na vidampaa wasio jikubaliii, afu watu wazimaaaa, nataka kuchachuanaa na vigorii wenzanguuu.
weraaaaaaaa weraaaa.
Kana laana.Walipue tu mkuu😂🤣🤒, walikosa mpinzani sahihi🤒
Asante Antonnia hope uko poa na toto, majukumu yamebana ndio maana nimepotea. Asante kwa salamu.nawasalimu kwajina la selfika wapendwaaa nimewamiso miee kitrambo sana ! Hope everything is well with you all!
Nakuuzooom,Walipue tu mkuu, walikosa mpinzani sahihi
![]()
Naona bado hujasema, ila unataka kusema,Huna chochote, huna lolote, huyo anayekufuatilia mtazame vizuri itakuwa anataka akuchemshe anywe supu, hana nia njema.
Tuache kufuatilia wanawake wanaojielewa humu tuje ku deal na m**du wa mtu asiejielewa, katafute soko machinjioni ukawe nyama choma.
Kwanza uwe unakaa kimya unachefua sana.











kwa kichefu chefu cha safarii hii basi utaharishaaa sio Kutapika tenaaa.Walipue tu mkuu, walikosa mpinzani sahihi
![]()



Kuliko joto la humuLODGE JOTO BALAA
,humu kuna joto balaa.Kuliko joto la humu,humu kuna joto balaa.
Wapinzani niliowafunga 3 bila mwaka juzi, siwatakiii nataka maingizo mapyaaa.Kwan tuna wapinzani humu?? Wanavaa jezi namba ngapi?? Wanakaba au wafungaji??![]()











wanakabwa na wanafungwaa, kipa sio katoka golini, ni hayupo kabisaaa.Sasa mbona mna Pigana vijembe kila saa🤔🤐🤒Kwan tuna wapinzani humu?? Wanavaa jezi namba ngapi?? Wanakaba au wafungaji??![]()
Wapewe,waibebe nzima,nzima wasiache hata like.Tobaaaaa
DP WORLD WAPEWE SELFIKA
uduguuu sikuweziii, hadi Kaoge amehusikaaa hapaaa, woiiiiiih.
Mbna unatishaa watu sasa,![]()



Niliwahi kukutana naye coco nikamtazama jibu alilonipa nilichooka!!!



Sijui 😬Wote na we na nani?
AiseeeWapewe,waibebe nzima,nzima wasiache hata like.