Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huna chochote, huna lolote, huyo anayekufuatilia mtazame vizuri itakuwa anataka akuchemshe anywe supu, hana nia njema.
Tuache kufuatilia wanawake wanaojielewa humu tuje ku deal na m**du wa mtu asiejielewa, katafute soko machinjioni ukawe nyama choma.

Kwanza uwe unakaa kimya unachefua sana.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu muandiko km naujua ila sikumbuki niliuona wapi?!!!
 
Huu uzi si nimeandika nime left😬
We SI uli sema Ume left kausha damu😁.
👉 Au niwaletee kwako😁🤣😂
FB_IMG_16927348822279064.jpg
 
Wapinzani niliowafunga 3 bila mwaka juzi, siwatakiii nataka maingizo mapyaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wakuze viwango kwan afu ndo wajee tenaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakabwa na wanafungwaa, kipa sio katoka golini, ni hayupo kabisaaa.

Usinambie udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Emu mkaushe damu asikuzoee
 
Back
Top Bottom