Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Babu km babu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu umbea unaniwasha mwenzio!!! Nisije kuongea kitu bure [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hahahaha....................unanitisha Mjukuu, lakini ukiingia ofisi ya Waziri Mkuu hapo nje kabla hujakutana na Walinzi kuna boksi la kutoa maoni Mjukuu, hebu fanya hivyo

Miaka ile ya 47 tulikuwa tunasema usimwage mchele kwenye Kuku wengi 🤪
 
Amepita bila kupingwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mitano tena kwa babuuuuu!!!
Wa wa wa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kazi iendeleeeeeeeee!!!!
Ajira kwa woteeeeeee

Tulimpenda wenyewe, tuntuu
Chaguo letu wenyewe, tente
Na mtiwe mpasuke, tinti
Acha waisome namba eeeeee, babu migambuti mbele kwa mbeleee [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua kwann nachekaaa? Humu watu watakufa wamechokaa sanaaa.

Umechelewa kuja selfika, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nishatua na mashangazi kaja yangu selfika
Tatizo nikitaka nisiingie mtanitafuta mpk nitaingia yani!!!

Emu muda wa kuselfika niselfike nikaendelee kuuza vijora
 
Chiziii kweliii wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna babu wa ajira, na babu wa maokotooo.

Unatembeaa na yupiii??

Wa ajira ana kitu atafika mbali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cha ajabu unateseka wee, kuliko huyo mzazi wangu.
Kwemaaaaaaa????
Unajipigia debe humu kwamba una soko na rangi unayo 🤣, umedoda hadi umeamua kujifanyia marketing kwa maneno, picha yenyewe huweki kazi kupiga domo tu, hakuna mtu wa ku flirt na wewe humu.
Tuna flirt na pisi zinazojielewa, sio wewe Skin and Bones, huna kila kitu, Ptuuuu!!!
 
Hahahaha....................unanitisha Mjukuu, lakini ukiingia ofisi ya Waziri Mkuu hapo nje kabla hujakutana na Walinzi kuna boksi la kutoa maoni Mjukuu, hebu fanya hivyo

Miaka ile ya 47 tulikuwa tunasema usimwage mchele kwenye Kuku wengi [emoji2957]

Sawa babu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Unajipigia debe humu kwamba una soko na rangi unayo [emoji1787], umedoda hadi umeamua kujifanyia marketing kwa maneno, picha yenyewe huweki kazi kupiga domo tu, hakuna mtu wa ku flirt na wewe humu.
Tuna flirt na pisi zinazojielewa, sio wewe Skin and Bones, huna kila kitu, Ptuuuu!!!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaa!!!
cocastic kuna msg yako huku udugu
 
Umakini unahitajika sana hapo ukizubaa wamekulamba wallet utakosa hadi nauli ya kurudi kwako bonyokwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli Mjukuu, nitakuwa makini maana kuna mmoja alinipelekaga Kitambaa cheupe wakati fulani.

Ndiyo kwa mara ya kwanza nakutana na Wajukuu wanakunywa zile Wine za 180,000. Bila kuwa na huruma na Babu yao walikunywa Chupa 3 plus Mbuzi nusu

Siku ile Babu yenu nililazimika kutembea kwa Miguu kurudi Kijijini maana wale Wajukuu walihakikisha Babu yao sibaki hata na mia mbovu 🙌
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaa!!!
cocastic kuna msg yako huku udugu
Usimuamshe, muache apumzike.
PAY-Wispa-the-dog.jpg
 
Kwa kweli Mjukuu, nitakuwa makini maana kuna mmoja alinipelekaga Kitambaa cheupe wakati fulani.

Ndiyo kwa mara ya kwanza nakutana na Wajukuu wanakunywa zile Wine za 180,000. Bila kuwa na huruma na Babu yao walikunywa Chupa 3 plus Mbuzi nusu

Siku ile Babu yenu nililazimika kutembea kwa Miguu kurudi Kijijini maana wale Wajukuu walihakikisha Babu yao sibaki hata na mia mbovu [emoji119]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hao kausha damu ulikutana nao babuuu!!! Wanatembea na spray za kujipulizia wakiona wameanza kulewa tyuuu wanajipuliza pombe zinakata kazi inaanza tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usiombe uwakute wanakunywa local beer ndo utapoteanaaaaa!!! Wapo km komba
 
Mitano tena kwa babuuuuu!!!
Wa wa wa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kazi iendeleeeeeeeee!!!!
Ajira kwa woteeeeeee

Tulimpenda wenyewe, tuntuu
Chaguo letu wenyewe, tente
Na mtiwe mpasuke, tinti
Acha waisome namba eeeeee, babu migambuti mbele kwa mbeleee [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaa, ngoja moto ukuwakiee utajua hujuii.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nishatua na mashangazi kaja yangu selfika
Tatizo nikitaka nisiingie mtanitafuta mpk nitaingia yani!!!

Emu muda wa kuselfika niselfike nikaendelee kuuza vijora
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nibebee kijora kimoja, nataka kuselfika nacho.
 
Back
Top Bottom