Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweli, bora waje wanisaidie Babu yao kuvuka barabara

Maana kwa Uzee huu hata kuona magari wakati wa kuvuka inakuwa shida

Watakuja hao kila chocho ya daslama wanaijua ushindwe wewe tyuuu!!! Ila uwe makini nao kwenye pesa wamekaa vibaya
 
Niko Linguse nguse huku, hata barabara hatuijui, tunatumia njia ya vichochoro ilojaa umande tupu.

Town wapiii nakokujua mie? Songea town enyewe had nikiumwa ndo niende pale mkoani.

Wewe wa daslama bana me ndo wa bush huku ndalambo
 
Ongeaa uduguuu, kuwa free waogopa nn??

Babu hana baya sitaki kumtia kisukari, me namtania tyuuu!!! Si unajua babu na wajukuu kutaniana lazima

Babu msuli unaweza kukaa pembeni, ukaona busha afu unamwambia, “Babu naomba mpira huo nikachezee” na akaishia kucheka tyuuu!!
 
Babu hana baya sitaki kumtia kisukari, me namtania tyuuu!!! Si unajua babu na wajukuu kutaniana lazima

Babu msuli unaweza kukaa pembeni, ukaona busha afu unamwambia, “Babu naomba mpira huo nikachezee” na akaishia kucheka tyuuu!!
Chiziii kweliii wee,
Kuna babu wa ajira, na babu wa maokotooo.

Unatembeaa na yupiii??
 
Babu km babu
Babu umbea unaniwasha mwenzio!!! Nisije kuongea kitu bure
Hahahaha....................unanitisha Mjukuu, lakini ukiingia ofisi ya Waziri Mkuu hapo nje kabla hujakutana na Walinzi kuna boksi la kutoa maoni Mjukuu, hebu fanya hivyo

Miaka ile ya 47 tulikuwa tunasema usimwage mchele kwenye Kuku wengi 🤪
 
Back
Top Bottom