cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,130
Sio Grahams huyo babu la kizungu halina kona kona![]()





uduguuu eti unasema nn??Sio Grahams huyo babu la kizungu halina kona kona![]()





uduguuu eti unasema nn??nigawie maokotooo






Tumeambiwa na Chino tufanye kazi tutafute pesa zetu tuache kutumika hovyo!!!!
Sasa hapa ndo najitafuta ili nisije kukutwa na bwana Pepsi![]()
Subiri mtaji ukue ndo nikutoe, ss hivi naujaza ukue ukue




hata tukiwa na pesa zetu, tutatumika km kawaaa.afu alikua kipenzii chao. Woiiiiih








Diss za jf bhana🤒🤔😁
uduguuu eti unasema nn??







🤐🤐🤐🤐🤐babuu atajinyonga mbona wote mnamkataa sasa?
hata tukiwa na pesa zetu, tutatumika km kawaaa.







Nimeshapona lakini ni lazima kuzingatia maelezo ya daktari. Maana macho ndio taa ya mwili. 😂😂😂Pole sana Allah atakujaalia utapona
Diss za jf bhana![]()


Yani wewe mfukunyuku ujue!! Sasa hiyo pic ya babuu kwann umeileta tena?!! Unataka niote?!!! 



Mi bado nipo, though macho Yana sumbua pia.Bado naendelea na kliniki. Macho
Shida mna mdiss bro wangu🤐🤒,Yani wewe mfukunyuku ujue!! Sasa hiyo pic ya babuu kwann umeileta tena?!! Unataka niote?!!!
![]()
Sisi Ni familia, ila wide SI alikuambia punguza umbea na vijembe🤐🤔pacha niwacheeeee
Magonjwa ya macho yana sababu nyingi sana 😂😂😂Mi bado nipo, though macho Yana sumbua pia.
👉Natumia xsone ile ya maji, afadhali kidogo.
Shida mna mdiss bro wangu,



Sisi Ni familia, ila wide SI alikuambia punguza umbea na vijembe![]()








Aogee atakatee?? Kwani wee hujui anaoga kwenye jacuzzi na bath tube?We sema kweli??
Nyie babuu bas itabidi aje kwangu tu ila kwanza aoge atakate![]()


