Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sisi Ni familia, ila wide SI alikuambia punguza umbea na vijembe[emoji850][emoji848]

Mwambie kwanza ajitahidi anitie mimba ya twins nishinde nakula embe mbichi na juice ya ukwaju [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuna miezi 4 hata mimba hakuna sa ndio nini??[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
We sema kweli?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie babuu bas itabidi aje kwangu tu ila kwanza aoge atakate [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Aogee atakatee?? Kwani wee hujui anaoga kwenye jacuzzi na bath tube? [emoji23][emoji23][emoji23]

Una utani na babuu wee.
 
Babu Grahams mbona msafi hana baya [emoji7][emoji7][emoji7]

Shida kwa muhasisi wa TANU mchafu mbuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliiiii?
 
Kwani natumia wa mtu Mxxiewwww!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Natumia wa kwangu na kazi yake ni hiyo tyuuu!!
Tena nachagua wa kumpatia, muda gani na lini[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Kikubwa akidhi vigezo vyangu!!!!
Ongezaaaa sautiiii, nakaziaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
H
Mwambie kwanza ajitahidi anitie mimba ya twins nishinde nakula embe mbichi na juice ya ukwaju [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuna miezi 4 hata mimba hakuna sa ndio nini??[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hata kama ni mtandaoni na hatukujui jaribu kuwa na maandishi yenye staha
 
Aogee atakatee?? Kwani wee hujui anaoga kwenye jacuzzi na bath tube? [emoji23][emoji23][emoji23]

Una utani na babuu wee.

Thubutuuuuu!!! Labda mtoni jaccuz ya nyookooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu tumpe wizo amuoe ndo wataenda sawa
 
Thubutuuuuu!!! Labda mtoni jaccuz ya nyookooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu tumpe wizo amuoe ndo wataenda sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] humjui babuu vizurii wee,
Mwenzako TZ yote yake, afu unasema midoshooo.
Wee huogopiiii??
 
Nakujua mswahili, Kwenye familia nzima wewe na Bibi yako ni [emoji91][emoji91].
[emoji117]Umbea na nongwa ya mdomo[emoji16][emoji1787]

Na nongwa zetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazungu mko wapi??? Aiseee!! Ko wewe unavyokazia na kufukunyukua pic ya babu wewe nani?? Na wewe dr kumbuka uliyechangamka tyuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom