YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Ajira woyeeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na Ajira zao mjiniii. Woiiiiiiih
Woyeeeee!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu safiiiii?????
Ajira woyeeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na Ajira zao mjiniii. Woiiiiiiih
Niko Linguse nguse huku, hata barabara hatuijui, tunatumia njia ya vichochoro ilojaa umande tupu.
Kwa kweli, bora waje wanisaidie Babu yao kuvuka barabara
Maana kwa Uzee huu hata kuona magari wakati wa kuvuka inakuwa shida [emoji2957]
Ongeaa uduguuu, kuwa free waogopa nn??Babu km babu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu umbea unaniwasha mwenzio!!! Nisije kuongea kitu bure [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hahahaha..................mtuonee huruma Wazee na hayo maswali magumu Mkuu 🏃🏃Kulikuwa na selfie au sio🤣😂😁, 👉👉👉camera ilikuwa Ina Uwezo wa ku catch object na back ground ehh😂🤣🏃🏃🏃
Safiiiiiii!!!Woyeeeee!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babu safiiiii?????
Unanioneaaaa!!! Kwa sauti ya Marioo.Watakuja hao kila chocho ya daslama wanaijua ushindwe wewe tyuuu!!! Ila uwe makini nao kwenye pesa wamekaa vibaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko Linguse nguse huku, hata barabara hatuijui, tunatumia njia ya vichochoro ilojaa umande tupu.
Town wapiii nakokujua mie? Songea town enyewe had nikiumwa ndo niende pale mkoani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mfyuuuuh!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe wa daslama bana me ndo wa bush huku ndalambo
Safiiiiiii!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu nacheka km mwehu hapa.
Unanioneaaaa!!! Kwa sauti ya Marioo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ongeaa uduguuu, kuwa free waogopa nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂🤣🤣🤣, 19 ngapi ile😂🤣Hahahaha..................mtuonee huruma Wazee na hayo maswali magumu Mkuu 🏃🏃
Asante kwa tafadhari Mjukuu, nitajitahidi kuilinda wallet yangu 🤗Watakuja hao kila chocho ya daslama wanaijua ushindwe wewe tyuuu!!! Ila uwe makini nao kwenye pesa wamekaa vibaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuhusu maokoto kweli Sina, sijui nili yaacha lushoto ama hazina. 🤣😂Ndiomana una jeuri kumbe?!!! Ngoja nimwambie akupige chini uteseke [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ms eyes huyu achana nae atakuzeesha maokoto hana
Amepita bila kupingwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumpe u raisi wa ajira au tumpotezee?!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua kwann nachekaaa? Humu watu watakufa wamechokaa sanaaa.Hapana nyie wajanja mno babu awe makini na pochi lake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chiziii kweliii wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu hana baya sitaki kumtia kisukari, me namtania tyuuu!!! Si unajua babu na wajukuu kutaniana lazima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babu msuli unaweza kukaa pembeni, ukaona busha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu unamwambia, “Babu naomba mpira huo nikachezee” na akaishia kucheka tyuuu!!
HelowwwwwAmepita bila kupingwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]