Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hometown
IMG_20230824_122316.jpg
 
Hahaha...........huo ndiyo umri wa 2nd born wangu, maana Babu yenu niliwahi kupata mtoto.

Miaka yetu ilikuwa ukimaliza darasa la 4 la Mkoloni tayari unaruhusiwa Kuoa 😅

Sio nyie Timu kataa Ndoa 🤪
Mkuu Ume Anza😂😂, yaani wewe una 70- second born wako ana 60😂😂
 
Poapoa ngoja nimuulize!! Kwamba kuna vinyama puani vinamfanya apumue kwa shida??
Ndiyo
Na ukikaa mazingira ya vumbi unapiga chafya sana
Ukivaa nguo za uvundo unapiga chafya

Inshort ndani ya pua kunavimba
Inapelekea upumue kwa shida muda wote.
Sasa dawa za hosp nimetumia hadi nimekata tamaa
 
Ndiyo
Na ukikaa mazingira ya vumbi unapiga chafya sana
Ukivaa nguo za uvundo unapiga chafya

Inshort ndani ya pua kunavimba
Inapelekea upumue kwa shida muda wote.
Sasa dawa za hosp nimetumia hadi nimekata tamaa
Sawa ngoja nitaongea nae!
 
Back
Top Bottom