Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Haswa, mimi napenda nyama aisee mpaka nyumbani wote wananijua😂Sidhani kama Kuna mtu hapendi nyama hii Dunia
Ni vile tu bajeti hairuhusu
Haswa, mimi napenda nyama aisee mpaka nyumbani wote wananijua😂Sidhani kama Kuna mtu hapendi nyama hii Dunia
Ni vile tu bajeti hairuhusu
Kabisasawa asante kwa kunielewesha.


Haswa, mimi napenda nyama aisee mpaka nyumbani wote wananijua![]()



Hapo umenena😌Kabisa
Waitwao ni wengi lakini wateule wachache
Hata humu jf mabilionea ni wengi
Tupo nao humu wengine wanakula Bata..ila wanaoweza kutoa hata sh mia kukupa ni wachache.
Mbinu za kivita nakupa
Watoaji wengi hawapendi kuitwa matajiri.
Lete address Dada
Mjep huwa hana mbambamba
🤣🤣🤣
Yaani nyama sijawahi choka kula
Labda ipikwe vibaya.
Hapa natembea nawaza nile hata kimshkaki nisafishe mdomo.
Nyie nyama tamu.
Pole sana Allah atakujaalia utaponaNinaendelea na Kliniki. Naendelea vizuri Alhamdulillah lakini lazima nizangatie maelezo ya madokta .
😀😀😀Kwakweli hakuna nafikir hapa mm nambari one sio Kwa uchu huu😀😀Kuna mtu hapendi nyama hivi
Ama ni shida tu za dunia
Mimi namalizana na mwanasheriawang nihamie jukwaa la Siasa😀Huu uzi nime left😬😬
HeeSaint Anne
Hakikisha Wifi yako anapata mbuzi saafi kabisa
Mimi nyama sipendi kama imepikwa vibaya😀😀😀Kwakweli hakuna nafikir hapa mm nambari one sio Kwa uchu huu😀😀
Kama huku umeshindwa kusurviveMimi namalizana na mwanasheriawang nihamie jukwaa la Siasa😀
Mm ndo balaa naweza zunguka soko Zima ukashangaa nimeangukia buchani 😀😀😀Mimi nyama sipendi kama imepikwa vibaya
Ila ikikolea viungo
Tangawizi na kitunguu swaumu Cha kutosha kabla haijapikwa
Hapo hata ukichemsha tu inannoha ..hata Kila siku nakula
Ni vile tu hela sina.
DadaHapo umenena😌
Wewe muite tu aje achafue hali ya hewa🤣🤣🤣Hee
Kwani Coca mmeachana?
Najaribu jaribu mambo magumu mno kule kha 😂😂😂Kuna uzi nilokamaa nao mwanzo mwisho na comments zote nikashtuka hakuna nilichoelewa 🤣🤣🤣Kama huku umeshindwa kusurvive
Kule wanaenda kukupasua kichwa 🤣
Ohh...hata sijaenda huko! Nikienda ntakuletea ubuyu!🙂ZAwadi za Zenji ziko wapi?
Najaribu jaribu mambo magumu mno kule khaKuna uzi nilokamaa nao mwanzo mwisho na comments zote nikashtuka hakuna nilichoelewa
![]()




Sasa mnadhani utamu wa chapati unatokea wapi??🙄Mnatulisha makanyagio yenu 😂