Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shem km shem hana baya namuelewa sijawahi kumuona kagombana na mtu?? Sijui ana moyo wa aina gani?? Coca una raha udugu [emoji4][emoji4][emoji4]

Sio wengine visirani na kujimwambafai kwingi na ajira zao za mchongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mjep shem me nakupa maua yako bila unafiki [emoji259][emoji254][emoji257][emoji255][emoji253][emoji258]🪴[emoji256] yote unastahili hayo!!!
@Mjep njoo huku uone unapewa maua yako, [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na na shem zenu mjinii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na anaweza kuigiza utajiri, plus masifa ya kuzaliwa nao. Na ulimbukeni alokua nao.
Bas tafrani tupu woiiiiih.

Mr migambuti ni sheeeddah!! Muhasisi wa TANU na AFRO SHIRAZI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kichwa kikubwa kusikitika hawezi!!
 
Shem km shem hana baya namuelewa sijawahi kumuona kagombana na mtu?? Sijui ana moyo wa aina gani?? Coca una raha udugu [emoji4][emoji4][emoji4]

Sio wengine visirani na kujimwambafai kwingi na ajira zao za mchongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mjep shem me nakupa maua yako bila unafiki [emoji259][emoji254][emoji257][emoji255][emoji253][emoji258]🪴[emoji256] yote unastahili hayo!!!
Asante shem😘
Ila nasubiri zawadi yangu ya vocha ujue😜
Au coca kakurubuni na maneno ukampa??
 
Back
Top Bottom