myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Duh!Nilikuwa kama jini kisirani kijora chin hakipo juu hakipo😂😂😂
Duh!Nilikuwa kama jini kisirani kijora chin hakipo juu hakipo😂😂😂
😅😅😅😅 utanipa majina ya unaotaka waje, nipitishe lokooo.. ili nijue yupi waku mkata na yupi ale mpungaaa.. 🤣🤣🤣 nakuwa kama mjumbe.. huyu kata huyu acha..Ninmpango niwaalike Dec mje mle mpunga nione puazenu na rangi zenu za choroko😀😀😀
yaan bas ukikaa vibayaa jinsi anavyokupa intro, unaweza sema nshatusua vile.
Mie nilikua namchora tyuuh, hata wazo sikua nalo.
Uduguuu taratibu nawee.







😅😅😅😅😅 menstruation period anakuwa na kisiraniKafie pm wewe😂🤣
😀😀 Hauuwepo ulikuwa na storyzako tu ila nilishtuka kutaja sehemu niliyokuwa nipo muda huo nikawa nageuka Kwa pause😂😂😂nisije kuta mambo shwaa kumbe ilikuwa story tu nikaendelea na yangu😂😂😅😅😅😅😅 utaenda kutununulia itakuwaje wageni waje alafu walale njaaa... ila siku ile kwanini hukuniambia nipo.... tule hata soda hadi asubuhiii.. nitakutumia picha uone kama ni wewe au sioo.. uone nguvu ya mafile
😅😅😅😅 aje athibitishe Ms eyesLipo lime andikwa kwa wino wa Moto 🤣😂😁
Niko town weyeee,
Mtaa wa washua afu.






Hao ndio km wale wanaotangaza kazi afu ukienda unapewa vyombo ukasambaze mtaani
Nasikia kazi zenyewe hana wala nenee ni kutafuta kiki tu aonekane pedezyeee kumbe apeche alolo km cute![]()



na anaweza kuigiza utajiri, plus masifa ya kuzaliwa nao. Na ulimbukeni alokua nao.😅😅😅😅😅 unataka nije kuku suprise tena nasimama nyuma yako alafu naita jina lako la JF..😀😀 Hauuwepo ulikuwa na storyzako tu ila nilishtuka kutaja sehemu niliyokuwa nipo muda huo nikawa nageuka Kwa pause😂😂😂nisije kuta mambo shwaa kumbe ilikuwa story tu nikaendelea na yangu😂😂
Yeye target yake n wanaume tyuuh, na amewaliza kwa kweliii.
kuna jamaa alitaka kumvua 300k, ila aliambulia 60k, woiiiiiih



Nitazimia😂😂😂😅😅😅😅😅 unataka nije kuku suprise tena nasimama nyuma yako alafu naita jina lako la JF..
Naam bora nifilisike tu aenjoy tu mremboUza nyumba ya kibaha umbebe🤣😂
Tutakukupea tu hakuna namnaaa 😅😅😅Nitazimia😂😂😂
Serious unauza vijora mchuchu.






Naeza toka speed ya chuma Cha mjerumani😂🤣🤣.😅😅😅😅😅 unataka nije kuku suprise tena nasimama nyuma yako alafu naita jina lako la JF..
Ila wanaume wa jf ni mabwege kumbe?? Yaani wanapigwa kizembe hivyo??
Ngoja na me nianze kuwaibia mana wasumbufu



nimestaafu utapelii wa mitandaonii.Mi nta muangalia Aaliyyah kavaa nguo ipi ya ndani😂🤣🤣.Tutakukupea tu hakuna namnaaa 😅😅😅
Naomba jiki ya buku na glycerine ya jeroo.Ndio
Na mikorogo ninayo ya kupima kwa kijiko![]()




