Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,079
- 95,693
Nitumie picha nione mwenyewe😂🤣Flat screen hii 😀😀
Nitumie picha nione mwenyewe😂🤣Flat screen hii 😀😀
Acha ni ringe kwanza@Mjep njoo huku uone unapewa maua yako,
Watu na na shem zenu mjinii.
Alikutana na wajanjaa alivuliwa penee kadhaaa,Duh!! Me mbona siwezi utapeli?? Emu nifundishe nimtapeli babu migambuti kwanza![]()






Ndiomana maokoto mazuri! Mikorogo inatoka Sana Sasa hivi.
Embu weka picha ya baadhi vijora hapa mchuchu macho yaone.




😅😅😅😅 ila napapenda sana.. sasa hivi nakuja kukaaa zaidi ya 6 miezi.. namuachia mchumba miezi minne tu ya kujifunguaa.. ndio naondoka😂😂😂Hebu tulia
Mkeka umesha expire huo😀
Kheeeeh mama sinyarii, tafadhari hivyo vipodozi ndo ulotaka umpe mke wa waziri mkuu??Bèta sol na maji ya carolite hutaki?
Na sabuni ya jaribu ipo boss, kipako kiwe pambe







Kumbe hata hajakupaaa?Asante shem
Ila nasubiri zawadi yangu ya vocha ujue
Au coca kakurubuni na maneno ukampa??





Utafanya ivo ili bi Mkubwa apendeze nyumbani.Kesho nitakutumia![]()
😀😀😀Sawa unanivuta niseme wala Niko zngu nanjilinji sahiz😅😅😅😅 ila napapenda sana.. sasa hivi nakuja kukaaa zaidi ya 6 miezi.. namuachia mchumba miezi minne tu ya kujifunguaa.. ndio naondoka
😂🤣🤣😂Ana siku ya mabomu nusu tuvunje milonjo aiseee!! Jirani yangu alibeba paka akajua mtoto, kafika banana anashangaa nyau nyau alizimia kwanza
Oyaa National Anthem ona hi manzi Ime Anza kuni igaa ninapo kaa🤣😂😀😀😀Sawa unanivuta niseme wala Niko zngu nanjilinji sahiz
Unatafuta kuachikaaa au? Mzigo unifikie km utakavyo upataa.Acha ni ringe kwanza
Nina shem wa uhakika
Hapa nasubiri mzigo wa vocha na sikugawii
Si mwenyewe uliyaona yale maokoto ya jana
Mungu anipe nini tena?





@Mjep njoo huku uone unapewa maua yako,
Watu na na shem zenu mjinii.




Michezo yako uliyoianzaga toka ukiwa form two bado hujaacha tu?Nitumie picha nione mwenyewe😂🤣
😅😅😅😅 sawa .. ujue mie nimekulia Bugweto.. unapajua.. nimesoma old shy nimeolea "Ng'waji....." haya sawa acha nilale kesho nayo siku😀😀😀Sawa unanivuta niseme wala Niko zngu nanjilinji sahiz
uduguuu Una nn lakini wee?? Woiiiih


Basi naacha leo vya mwisho kesho naanza mfungo sitaki ugomvi na mtu😀😀Usikumwema😅😅😅😅 sawa .. ujue mie nimekulia Bugweto.. unapajua.. nimesoma old shy nimeolea "Ng'waji....." haya sawa acha nilale kesho nayo siku