YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu Una nn lakini wee?? Woiiiih
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Basi naacha leo vya mwisho kesho naanza mfungo sitaki ugomvi na mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu Una nn lakini wee?? Woiiiih
😀😀Usikumwema😅😅😅😅 sawa .. ujue mie nimekulia Bugweto.. unapajua.. nimesoma old shy nimeolea "Ng'waji....." haya sawa acha nilale kesho nayo siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shemu wako ajira aitoe wapii? Yeye mwenyewe aombee kwa kuwa alisoma mambele ndo akapata fevaa, vinginevyo angekua ananilagjai "kuna mchongo nausikilizia".Haswaaaa!! Shem akitangaza ajira unishtue nimpeleke babu akawafanyie interview huenda anaweza kupata chochote kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yatakushinda weyeeee, unayaweza lakiniii??[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Basi naacha leo vya mwisho kesho naanza mfungo sitaki ugomvi na mtu
Babu ndio Nani!Haswaaaa!! Shem akitangaza ajira unishtue nimpeleke babu akawafanyie interview huenda anaweza kupata chochote kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅😅😅 naweza muharibu nikapewa lawama na wanao mtegemea.. msimu wa bata la 24hour unaelekea kuwa activated.. umuonavyo anaweza toboa huyuu.. au tumpe interview ya house party ya dhambiMichezo yako uliyoianzaga toka ukiwa form two bado hujaacha tu?
Oya National Anthem kamzululishe kidogo kijana
Sawa tu 😅😅😅😅😅😀😀Usikumwema
😅😅😅😅 nyie nakuja hukoo.. nita wa suprise woteee...Oyaa National Anthem ona hi manzi Ime Anza kuni igaa ninapo kaa🤣😂
[emoji23][emoji23]Nimecheka
Njoo Niku geuze msukule 🤣😂😅😅😅😅 nyie nakuja hukoo.. nita wa suprise woteee...
C c Unique FlowerNjoo Niku geuze msukule 🤣😂
Na umefundisha rajani secondary na mumbu Islamic.😅😅😅😅 sawa .. ujue mie nimekulia Bugweto.. unapajua.. nimesoma old shy nimeolea "Ng'waji....." haya sawa acha nilale kesho nayo siku
Daah uzuri nili Soma chini ya mbuyu🤣😂, Kama vipi niue tu🤣😂Michezo yako uliyoianzaga toka ukiwa form two bado hujaacha tu?
Oya National Anthem kamzululishe kidogo kijana
Aisee🤣🙄🏃🏃🏃🏃🏃
Asante shem[emoji8]
Ila nasubiri zawadi yangu ya vocha ujue[emoji12]
Au coca kakurubuni na maneno ukampa??
Shida una hisi wote tuna tumia fiber ya hapo kwako🤣😂😂😁🤔
🤔😂🤣🤣🤣Utarogwa me simo!!! Mwenzio kijukuu cha mtume sirogeki si kwa ndumba la tunguli wala kombe!!! Dawa za kunywa nimeoga, za kuoga nimekunywa!!!
Nina chale mwili mzima km kibao cha kashata, usafiri natumia fisi km napanda farasi yani [emoji83][emoji83][emoji84][emoji83]
Familia kwanza 😂🤣🤣🤣Nimesubiri unitajie ya mtandao gani mpk nimechoka!!! Si unajua mwenyewe niko kudanga mbalali wanakovuna mipunga huku so dukani nimemuacha kijana yeye ndo nampa maelekezo ya kutuma!! Kesho mapema vocha ya buku 10 sema mtandao kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu niwachee ebooh!!
Hapa sina mbavuu.