Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shem km shem hana baya namuelewa sijawahi kumuona kagombana na mtu?? Sijui ana moyo wa aina gani?? Coca una raha udugu

Sio wengine visirani na kujimwambafai kwingi na ajira zao za mchongo

Mjep shem me nakupa maua yako bila unafiki ๐Ÿชด yote unastahili hayo!!!
@Mjep njoo huku uone unapewa maua yako,
Watu na na shem zenu mjinii.
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… kuanzia wiki ijayo nakuja na pdf unaonesha majina harisi, na mnapo ishi na majina ya mitaa yenu.. tena naanza na wewe TISS
Dogo una force bifu na mwizi wa kimataifa ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
๐Ÿ‘‰ Kaa kwa kutulia, maana Nita kutengenezea fumanizi ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
Shem km shem hana baya namuelewa sijawahi kumuona kagombana na mtu?? Sijui ana moyo wa aina gani?? Coca una raha udugu

Sio wengine visirani na kujimwambafai kwingi na ajira zao za mchongo

Mjep shem me nakupa maua yako bila unafiki ๐Ÿชด yote unastahili hayo!!!
Asante shem๐Ÿ˜˜
Ila nasubiri zawadi yangu ya vocha ujue๐Ÿ˜œ
Au coca kakurubuni na maneno ukampa??
 
Back
Top Bottom